VIJANA WAHAMASISHWA UFUGAJI WA KUKU, KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Na. Edward Kondela
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewapa vifaranga vya kuku 540 kikundi cha vijana wajasiriamali ili kuhamasisha ufugaji utakaosaidia kuziba pengo la uhaba wa nyama ifikapo mwaka 2022 pamoja na kukuza sekta ya kuku nchini.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mazao ya Mifugo na Usalama wa Chakula na Lishe wa wizara hiyo, Bw. Gabriel Bura amekabidhi vifaranga hivyo mwishoni mwa wiki kwa wawakilishi wa kikundi cha vijana watatu wajasiriamali hafla ilifanyika Mbweni jijini Dar es Salaam....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ng_50n_Hyr8/XvJnh5nYqqI/AAAAAAALvHg/rgobkI1VYfgGguHLnf6ST7VqYHdrW5BjQCLcBGAsYHQ/s72-c/ee801213-129f-428b-b048-ffe7bf64823a.jpg)
VIJANA WATAKIWA KUTUMIA UJUZI WA MAFUNZO YA KILIMO CHA KISASA KUJIKWAMUA KIUCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ng_50n_Hyr8/XvJnh5nYqqI/AAAAAAALvHg/rgobkI1VYfgGguHLnf6ST7VqYHdrW5BjQCLcBGAsYHQ/s640/ee801213-129f-428b-b048-ffe7bf64823a.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) akieleza jambo alipokuwa akikagua kitalu nyumba kilichopo Nangara, Mkoani Babati. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Manyara Bi. Elizabeth Kitundu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/fd86c11c-deec-4cfe-8c89-cdb007f7145f.jpg)
Baadhi ya vijana wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipowatembelea vijana hao kukagua maendeleo ya mafunzo...
9 years ago
Bongo510 Dec
Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku
![Hi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Hi-300x194.jpg)
Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:
Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...
9 years ago
StarTV01 Dec
Watanzania waaswa kutumia vizuri misaada ya wahisani kujikwamua kiuchumi
TASAF yasema Jamii nyingi za kitanzania zitaweza kujikwamua na umasikini kwa kutumia ipasavyo misaada wanayoipata kutoka kwa wahisani na hata mashirika ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali kubuni miradi mbalimbali itakayowasaidia kukuza vipato vyao.
Ni katika mpango wa TASAF wilayani Monduli mkoani Arusha wa kulipa kaya masikini katika maeneo mbalimbali nchini ili iweze kuleta tija katika jamii.
baadhi ya wananchi wa wilaya ya monduli katika kijiji cha mlimani waliopata fursa ya kupata ...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Vodacom yafadhili mradi wa ufugaji kuku
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania imeadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kufadhili mradi wa ufugaji kuku.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RYKaHZPDsRI/U204F-9ed2I/AAAAAAACgpk/NtCH_bwjkXM/s72-c/13.jpg)
KINANA AWASHA MOTO IGUNGA,AWAMWAGIA SIFA LUKUKI VIONGOZI VIJANA WA WILAYA HIYO KWA UBUNIFU WA MIRADI YA VIJANA YA KUJIKWAMUA NA UMASKINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RYKaHZPDsRI/U204F-9ed2I/AAAAAAACgpk/NtCH_bwjkXM/s1600/13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-habGae4_mPI/U204ZANRrgI/AAAAAAACgps/bMN7gAgwMI4/s1600/14.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AWO_7VoQ9fc/VOJZQPD2krI/AAAAAAAHEGU/Luxi2r9403A/s72-c/PIX1.jpg)
Vijana Manispaa ya Kigoma Ujiji wahamasishwa kuchangamkia fursa za mfuko wa Maendeleo ya Vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-AWO_7VoQ9fc/VOJZQPD2krI/AAAAAAAHEGU/Luxi2r9403A/s1600/PIX1.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Faida za kiuchumi za ufugaji nyuki
UFUGAJI nyuki nchini hufanyika kwenye misitu na mapori ya akiba na asilimia ndogo hufanyika katika maeneo ya kilimo. Wananchi waishio jirani na maeneo ya hifadhi za misitu na baadhi ya...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Ufugaji nyuki umewakomboa wasomi kiuchumi
BAADA ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu, safari ya kuelekea kwenye jamii inaanza na kuanza maisha ikiwa ni pamoja na kukabiliana na changamoto zake ikiwemo suala la ajira ambalo ni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TslQhVTUIaw/VDafNfPpDmI/AAAAAAAGo1o/hEpKKFSEh0s/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kufadhili mradi wa ufugaji kuku
Mbali na kufadhili...