Vodacom yafadhili mradi wa ufugaji kuku
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania imeadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kufadhili mradi wa ufugaji kuku.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TslQhVTUIaw/VDafNfPpDmI/AAAAAAAGo1o/hEpKKFSEh0s/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kufadhili mradi wa ufugaji kuku
Mbali na kufadhili...
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Vodacom yafadhili mradi yatima Mwandalimwa
KATIKA kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja duniani kampuni ya Vodacom, imejitolea kufadhili ujenzi wa banda la kuku la kisasa lenye uwezo wa kufugia kuku 2,000 katika kituo cha kulea...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wOxSNW6ydfM/UvsfEvGkGYI/AAAAAAAFMeY/JCW_6J-d72c/s72-c/unnamed+(80).jpg)
KAMISHNA MSAIDIZI WA POLISI SUZAN KAGANDA ATOA VITENGE 15 NA TSHS. 100,000/= KWA AJILI YA MRADI WA UFUGAJI WA KUKU WILAYANI KONGWA
9 years ago
Bongo510 Dec
Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku
![Hi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Hi-300x194.jpg)
Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:
Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...
5 years ago
MichuziVIJANA WAHAMASISHWA UFUGAJI WA KUKU, KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Na. Edward Kondela
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewapa vifaranga vya kuku 540 kikundi cha vijana wajasiriamali ili kuhamasisha ufugaji utakaosaidia kuziba pengo la uhaba wa nyama ifikapo mwaka 2022 pamoja na kukuza sekta ya kuku nchini.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mazao ya Mifugo na Usalama wa Chakula na Lishe wa wizara hiyo, Bw. Gabriel Bura amekabidhi vifaranga hivyo mwishoni mwa wiki kwa wawakilishi wa kikundi cha vijana watatu wajasiriamali hafla ilifanyika Mbweni jijini Dar es Salaam....
10 years ago
MichuziMHE. KAMANI AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS MLENGEYA KAMANI (Mb) AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lgkx2VRxfgA/VFDn4TPoFDI/AAAAAAAGuEA/UeN5t0WG0SI/s72-c/001.KAMBANGWA.jpg)
WANAFUNZI WA KAMBANGWA WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA KOMPYUTA WA VODACOM NA SAMSUNG
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lgkx2VRxfgA/VFDn4TPoFDI/AAAAAAAGuEA/UeN5t0WG0SI/s1600/001.KAMBANGWA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwL0tVR9zcl7bjLzK1glDfnhtjlZNcIcDIdIh0z7MsrxSAWjf-GcAgf5Fjz-KDatlPAB9PTZIam5uMjt-A40zotV/Picha9.jpg?width=650)
VODACOM FOUNDATION YAUPA JEKI $ 166,000 MRADI WA HAKUNA WASICHOWEZA