Wastaafu Bandari watafuta huruma ya Waziri Sitta
Wastaafu 263 wa iliyokuwa Mamlaka ya Bandari nchini (THA) wamemwomba Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta kuingilia kati mgogoro wa muda mrefu wa kulipwa mafao yao ya Sh2 bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Jun
Sitta avunja Bodi ya Bandari, ateua mpya
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amefuta uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini (TPA) kuanzia jana na kuteua wajumbe wengine wapya nane wanaounda bodi hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2UOk2V9gJZY/VW4NRg3ADHI/AAAAAAAHbgc/aUA3U8Wbxvg/s72-c/20150602125744.jpg)
MH.SITTA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA BANDARI YA TANGA,WAELEZA CHANGAMOTO ZAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2UOk2V9gJZY/VW4NRg3ADHI/AAAAAAAHbgc/aUA3U8Wbxvg/s640/20150602125744.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TASYiCtvGys/VW4NSm8fogI/AAAAAAAHbgo/CuNbmiwB0qc/s640/20150602125748.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X6XhSpjlxRk/VW4NSAned8I/AAAAAAAHbgg/rxowOLTEBmg/s640/20150602125746BN.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Aug
Waziri Gaudensia Kabaka aipongeza TPB kutoa mikopo kwa wastaafu
![Kutoka kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta (TPB), Sabasaba Moshingi, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka na baadhi ya viongozi meza kuu wakiwa wameshikana mikono na kuinyanyua juu ikiwa ni ishara ya kuwaunganisha wastaafu kwenye fursa mara baada ya uzinduzi wa mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0079.jpg)
![Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza katika uzinduzi wa mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0071.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Waziri wa Fedha akiri udhaifu Bandari
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAZIRI SITA AMSIMAMISHA MKURUGENZI MAMALAKA YA BANDARI
10 years ago
Habarileo06 Dec
Waziri aagiza kuimarishwa bandari ya Mkoani Pemba
WAZIRI wa Mawasiliano na Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Juma Duni Haji amelitaka Shirika la Bandari kuimarisha bandari ya Mkoani Pemba ambayo imetangazwa kuwa lango kuu la kiuchumi.
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Waziri wa Fedha afanya ziara ya kushtukiza Bandari Kavu
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiangalia kontena lenye shehena ya vitenge badala ya unga wa gypsum kama nyaraka zilivyoonyesha.
Baadhi ya wafanyabiashara wabainika kukwepa kulipa kodi kwa kuingiza bidhaa kutoka nje kupitia bandari ya Dar es Salaam, ambapo huandikisha taarifa na maelezo tofauti na bidhaa halisi zilizomo ndani ya makontena ili kuwawezesha kukwepa kodi kwa kulipia kiasi kidogo.
Kutokana na udanganyifu huo, Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya alifanya ziara ya kushtukiza...