MH.SITTA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA BANDARI YA TANGA,WAELEZA CHANGAMOTO ZAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2UOk2V9gJZY/VW4NRg3ADHI/AAAAAAAHbgc/aUA3U8Wbxvg/s72-c/20150602125744.jpg)
Mhe Samuel Sitta akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi mkuu Ndg Awadh Massawe.
Mhe Samuel Sitta pia alipata fursa kuongea na wafanyakazi wa Bandari ya Tanga ambapo walieleza changamoto zinazowakabili wafanyakazi hao ikiwepo kodi inayokatwa kwenye mishahara ni kubwa ukilinganisha na kipato na Pia Mhe Sitta ameteua wajumbe wapya wa bodi ya bandari
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Jun
Wahandisi waeleza changamoto za uadilifu
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Edwin Ngonyani amesema wahandisi wanakabiliwa na changamoto ya kutakiwa na waajiri wao kufanya kazi kwa matakwa yao na si kufuata taaluma ya kihandisi.
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TANGA CEMENT WAFANYA USAFI SOKO KUU LA MJINI TANGA LA NGAMIANI
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Hujuma Bandari ya Tanga
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s72-c/_MG_7029.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAKIRI WAZI HAIJAPATA KUTOKEA,WAELEZA HISIA ZAO KUWA MAGUFULI ANATOSHA NAFASI YA URAIS.
![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s640/_MG_7029.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mMl3fEogN20/ViKZFhd8cxI/AAAAAAAIAmA/e-wCJ0YN42o/s640/_MG_7034.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Wafanyakazi Wanawake wa Tanga Cement Walivyosherehekea Siku ya Wanawake Duniani mjini Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RWpCpAJwU6Y/VRJMgOF2ALI/AAAAAAAHNB0/DLcJWobAVMY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Habarileo03 Jun
Sitta avunja Bodi ya Bandari, ateua mpya
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amefuta uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini (TPA) kuanzia jana na kuteua wajumbe wengine wapya nane wanaounda bodi hiyo.
10 years ago
Mwananchi05 Mar
Wastaafu Bandari watafuta huruma ya Waziri Sitta
10 years ago
Habarileo18 Jun
Mafuta kupita bandari Tanga
SERIKALI imesema inatarajia kuanza kutumia bandari ya Tanga katika kuingiza mafuta ili kupunguza msongamano na ucheleweshwaji wa upakuaji katika bandari ya Dar es Salaam pamoja na kuongeza ufanisi wa usafirishaji wa nishati hiyo.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Hali ni ngumu Bandari Tanga