Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya kumpinga Dk Mathayo ‘ngoma nzito’

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, Aishiel Sumari ameombwa kumwelekeza naibu msajili wa mahakama hiyo kusajili kesi ya kupinga ushindi wa Dk David Mathayo wa CCM.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya mauaji Polisi Moshi ngoma nzito

UPANDE wa utetezi katika kesi ya mauaji inayowakabili  raia wawili wa Kenya na Mtanzania mmoja wanaotuhumiwa kumuua  askari wa Jeshi la Polisi, Ex. PC Michael Milanzi, aliyeuawa kwa kupigwa risasi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kifo cha Mathayo Hobden kuchunguzwa.

Kifo cha mchezaji kriketi Sussex Mathayo Hobden aliyekuwa na umri wa miaka 22 kinachunguzwa na jeshi la polisi nchini scotland.

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli: Waziri Mathayo pekee ndiye alitakiwa kuwajibishwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amesema ni waziri mmoja tu kati ya wanne walioondolewa mwishoni mwa mwaka jana, aliyestahili kuwajibishwa kutokana na kashfa ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwenye Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbajo wa Chadema azidi kumng’ang’ania Dk Mathayo

Moshi. Aliyekuwa mgombea ubunge wa Same Magharibi (Chadema), Christopher Mbajo ameongeza mawakili kumuwakilisha katika kesi ya kupinga ushindi wa Dk David Mathayo wa CCM.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MATHAYO TORONGEY: Mfugaji wa kwanza kugombea ubunge Chalinze

MATUMAINI makubwa ya kuondoa changamoto na umasikini uliokithiri Chalinze, umewafanya wananchi wengi wa rika zote katika jimbo hilo, kuumunga mkono mgombea wa ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

 

9 years ago

Habarileo

Chadema kumpinga Bashe mahakamani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Nzega mkoani Tabora kimetangaza kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliyompatia ushindi Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM).

 

10 years ago

Dewji Blog

Urambo kuandamana kumpinga Sitta

Samuel-Sitta

Mwenyekiti wa Bunge maalum la Katiba Samuel Sitta.

Na Mwandishi wetu

WAKAZI wa Urambo Mashariki wanatarajia kufanya maandamano yasiyokuwa na kikomo kupinga Rais Jakaya Kikwete asije kuingizwa kwenye mtego wa kupokea Rasimu iliyobeba maoni ya watu wenye uroho wa madaraka kama Mwenyekiti wa Bunge maalum la Katiba Samuel Sitta.

Akisoma Tamko lao kuhusu maandamano yao hayo ya kupinga vitendo vya Mwenyekiti wa Bunge hilo maalumu mbele ya  wandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Msemaji  wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano Algeria kumpinga Bouteflika

Vyama vya upinzani vimepinga harakati za rais Abdelaziz Bouteflika kutaka kuliongoza taifa hilo kwa muhula mwingine wa miaka minne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano ya kumpinga kabila yafanyika

Maelfu ya watu wameandamana nchini Jamhuri ya kidemorasi ya Congo wakimpinga rais wa taifa hilo Joseph Kabila.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani