MATHAYO TORONGEY: Mfugaji wa kwanza kugombea ubunge Chalinze
MATUMAINI makubwa ya kuondoa changamoto na umasikini uliokithiri Chalinze, umewafanya wananchi wengi wa rika zote katika jimbo hilo, kuumunga mkono mgombea wa ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Mfugaji kumvaa Ridhiwani ubunge Chalinze
11 years ago
Michuzi12 Mar
watano wachukua fomu kugombea ubunge jimbo la chalinze
Jumla ya wagombea watano wamechukua fomu za kuwania Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Chalinze, Bagamoyo, Zoezi litafungwa rasmi tarehe 12 Machi 2014 saa kumi kamili alasiri, kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Bagamoyo, David Shija.
Wagombea hao ni:-
Mathayo Torongey (CHADEMA) Phabian Skauki wa (CUF) Vuniru Hussein (NRA) Ramadhan Mgaya (ASP) Ridhiwani Kikwete (CCM)
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Mjue Torongey chaguo la Chadema Chalinze
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Torongey awataka Chalinze kuchukua hatua
ALIYEKUWA mgombea ubunge Chalinze kwenye uchaguzi mdogo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mathayo Torongey, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuacha kulalamika, badala yake wachukue hatua katika uchaguzi ujao....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXLexEUlEjfFDCZv94KhDx5Pv41Ua37QCDhNrEoUEhgvcmbr2UtQ7Xb71jeT74pj3QikGkOAEQSbp5uvB7e*75Fe/52.jpg?width=650)
WENGI WAMPA UBUNGE RIDHIWANI CHALINZE
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xSW3MOal_2Q/VgYnBBSi0mI/AAAAAAAH7OE/1f9qS-DnCHg/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
KAMAPENI ZA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
11 years ago
MichuziRIDHIWANI ARUDISHA FOMU ZA UBUNGE CHALINZE
11 years ago
Habarileo06 Apr
Mbivu, mbichi ubunge Chalinze leo
BAADA ya kampeni zilizodumu kwa mwezi mmoja, hatimaye uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani unatarajiwa kufanyika leo ili kumpata mrithi wa Said Bwanamdogo aliyefariki dunia Januari 22 mwaka huu kutokana na maradhi.
11 years ago
MichuziRidhwani achukua fomu za Ubunge Chalinze