Mfugaji kumvaa Ridhiwani ubunge Chalinze
Mfugaji wa ng’ombe katika Kijiji cha Ubena, Mathayo Tolongey ameshinda katika kura za maoni kuwania ubunge kupitia Chadema katika Jimbo la Chalinze, Mkoa wa Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Wanne kumvaa Ridhiwani Chalinze
Vyama vinne vimejitokeza kusimamisha wagombea wao ili wapambane na Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwan Kikwete ambaye tayari amepitishwa na chama hicho tawala kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
MATHAYO TORONGEY: Mfugaji wa kwanza kugombea ubunge Chalinze
MATUMAINI makubwa ya kuondoa changamoto na umasikini uliokithiri Chalinze, umewafanya wananchi wengi wa rika zote katika jimbo hilo, kuumunga mkono mgombea wa ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...
11 years ago
MichuziRIDHIWANI ARUDISHA FOMU ZA UBUNGE CHALINZE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXLexEUlEjfFDCZv94KhDx5Pv41Ua37QCDhNrEoUEhgvcmbr2UtQ7Xb71jeT74pj3QikGkOAEQSbp5uvB7e*75Fe/52.jpg?width=650)
WENGI WAMPA UBUNGE RIDHIWANI CHALINZE
Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwan Kikwete. WANANCHI wa vijiji kadhaa vilivyomo katika Jimbo la Chalinze, ambalo Aprili 6, mwaka huu litafanya uchaguzi mdogo wa Ubunge, wamempa nafasi kubwa ya kuibuka mshindi mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Ijumaa katika vijiji saba vya jimbo hilo, wengi wa waliohojiwa kuhusu mshindi wa nafasi hiyo,...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Ridhiwani Kikwete ambwaga Madega ubunge Chalinze
>Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete ameibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha kura za maoni za kuwania ubunge katika Jimbo la Chalinze, Mkoa wa Pwani.
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Ridhiwani Kikwete ambwaga madega ubunge Chalinze
Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete ameibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha kura za maoni za kuwania ubunge katika Jimbo la Chalinze, Mkoa wa Pwani.
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lt_XBNp4lGQ/Uy_PiWc72SI/AAAAAAACdTg/hi5xPw-JhAk/s72-c/30.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AZIDI KUIPASUA CHALINZE KATIKA KUSAKA KURA ZA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lt_XBNp4lGQ/Uy_PiWc72SI/AAAAAAACdTg/hi5xPw-JhAk/s1600/30.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-16jk9KBNZDE/Uy_Ppkmz3QI/AAAAAAACdTo/uWw366d_icE/s1600/POM+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gsqNhkgx5DI/Uy_P59eQ5pI/AAAAAAACdT4/AflAQUJAyOo/s1600/POM+3.jpg)
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-lymOQzXlad0/UytOcGvjr1I/AAAAAAAAkq4/53ueCAv0vKo/s1600/1.+Ridhiwani+akiomba+kura+kwa+wananchi+katika+Kijiji+cha+Visakazi,+Kata+ya+Ubena.jpg)
MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, RIDHIWANI AOMBA KURA KATA YA UBENA
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Chalinze, Ridhiwani Jakaya Kikwete, akihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Visakazi, katika kata ya Ubena jana.
Wananchi wa kijiji cha Visakazi wakinyoosha mikono kuonyesha kumuuunga mkono Ridhiwani wakati wa mkutano…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania