WENGI WAMPA UBUNGE RIDHIWANI CHALINZE
![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXLexEUlEjfFDCZv94KhDx5Pv41Ua37QCDhNrEoUEhgvcmbr2UtQ7Xb71jeT74pj3QikGkOAEQSbp5uvB7e*75Fe/52.jpg?width=650)
Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwan Kikwete. WANANCHI wa vijiji kadhaa vilivyomo katika Jimbo la Chalinze, ambalo Aprili 6, mwaka huu litafanya uchaguzi mdogo wa Ubunge, wamempa nafasi kubwa ya kuibuka mshindi mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Ijumaa katika vijiji saba vya jimbo hilo, wengi wa waliohojiwa kuhusu mshindi wa nafasi hiyo,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRIDHIWANI ARUDISHA FOMU ZA UBUNGE CHALINZE
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Mfugaji kumvaa Ridhiwani ubunge Chalinze
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Ridhiwani Kikwete ambwaga Madega ubunge Chalinze
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Ridhiwani Kikwete ambwaga madega ubunge Chalinze
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lt_XBNp4lGQ/Uy_PiWc72SI/AAAAAAACdTg/hi5xPw-JhAk/s72-c/30.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AZIDI KUIPASUA CHALINZE KATIKA KUSAKA KURA ZA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lt_XBNp4lGQ/Uy_PiWc72SI/AAAAAAACdTg/hi5xPw-JhAk/s1600/30.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-16jk9KBNZDE/Uy_Ppkmz3QI/AAAAAAACdTo/uWw366d_icE/s1600/POM+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gsqNhkgx5DI/Uy_P59eQ5pI/AAAAAAACdT4/AflAQUJAyOo/s1600/POM+3.jpg)
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-lymOQzXlad0/UytOcGvjr1I/AAAAAAAAkq4/53ueCAv0vKo/s1600/1.+Ridhiwani+akiomba+kura+kwa+wananchi+katika+Kijiji+cha+Visakazi,+Kata+ya+Ubena.jpg)
MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, RIDHIWANI AOMBA KURA KATA YA UBENA