Mbivu, mbichi ubunge Chalinze leo
BAADA ya kampeni zilizodumu kwa mwezi mmoja, hatimaye uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani unatarajiwa kufanyika leo ili kumpata mrithi wa Said Bwanamdogo aliyefariki dunia Januari 22 mwaka huu kutokana na maradhi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-TurFMRemeJc/U5lpX5TJl0I/AAAAAAAABPY/-IQa97xaFM8/s72-c/mkuya-1.jpg)
Mbivu, mbichi za bajeti leo
Vyanzo vipya vya mapato, misamaha gumzo Serikali yasikiliza mapendekezo ya wabunge Kuongeza bil. 200/-, wizara kubanwa zaidi Wananchi: Bei ya mafuta, saruji zidhibitiwe
NA SELINA WILSON, DODOMA
MACHO na masikio ya Watanzania leo yataelekezwa mjini Dodoma, wakati Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, atakaposoma Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015.
Tayari bajeti hiyo ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa ili kutoa mwelekeo wa taifa, imeibua msuguano mkali baina ya serikali na...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Mbichi, mbivu za Serikali mbili leo
BUNGE Maalum la Katiba linatarajia kuanza upigaji kura wa kuamua ibara na sura za rasimu ya Katiba inayopendekezwa kuanzia leo hadi Oktoba 2 mwaka huu, huku masuala mawili ya udini...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Mbivu, mbichi za Loga
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-VFLD37CD3fY/VQBesQL_rII/AAAAAAAAB7k/HMC3s3o5QzA/s72-c/Profesa%2BAnna%2BTibaijuka.jpg)
Mbivu, mbichi za Tibaijuka kesho
NA MARIAM MZIWANDA
HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, kuhusiana na kupata mgawo wa fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow, inatarajiwa kutolewa kesho.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VFLD37CD3fY/VQBesQL_rII/AAAAAAAAB7k/HMC3s3o5QzA/s1600/Profesa%2BAnna%2BTibaijuka.jpg)
Profesa Tibaijuka, tayari amehojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma juu ya tuhuma hizo, ambapo alikiri kupata mgawo huo, lakini akaeleza kuwa ulikuwa ni msaada. Anatuhumiwa kukiuka Sheria ya Maadili ya Utumishi wa Umma namba 12 (e) (1) ya mwaka 1995.
Mwanasheria wa Baraza hilo, Wema...
10 years ago
Habarileo05 Sep
Mbivu, mbichi CDA Septemba 7
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kuwa na subira wakati suala la mgogoro kati ya Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) na wananchi linashughulikiwa.
11 years ago
BBCSwahili06 Dec
Mbivu na mbichi Brazil 2014
10 years ago
Habarileo24 Nov
Mbivu, mbichi bungeni wiki hii
NI wiki ya lala salama katika Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge la Tanzania, lakini wiki ambayo unaweza kuiita ni ya kufahamu mbichi na mbivu kuhusu madai ya uchotaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow inayohusu Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
10 years ago
Michuzi17 Jul
RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/158.jpg)