Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbivu, mbichi za bajeti leo



Vyanzo vipya vya mapato, misamaha gumzo Serikali yasikiliza mapendekezo ya wabunge Kuongeza bil. 200/-, wizara kubanwa zaidi Wananchi: Bei ya mafuta, saruji zidhibitiwe
NA SELINA WILSON, DODOMA
MACHO na masikio ya Watanzania leo yataelekezwa mjini Dodoma, wakati Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, atakaposoma Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015.
Tayari bajeti hiyo ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa ili kutoa mwelekeo wa taifa, imeibua msuguano mkali baina ya serikali na...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mbichi, mbivu za Serikali mbili leo

BUNGE Maalum la Katiba linatarajia kuanza upigaji kura wa kuamua ibara na sura za rasimu ya Katiba inayopendekezwa kuanzia leo hadi Oktoba 2 mwaka huu, huku masuala mawili ya udini...

 

11 years ago

Habarileo

Mbivu, mbichi ubunge Chalinze leo

BAADA ya kampeni zilizodumu kwa mwezi mmoja, hatimaye uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani unatarajiwa kufanyika leo ili kumpata mrithi wa Said Bwanamdogo aliyefariki dunia Januari 22 mwaka huu kutokana na maradhi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbivu, mbichi za Loga

Hatima ya kocha wa Simba, Zdravko Logarusic itajulikana leo wakati moja wa vigogo wa klabu hiyo atakapotua nchini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mbivu na mbichi Brazil 2014

Hapana shaka wapenzi wa soka barani Afrika pamoja na kuomboleza kifo cha Nelson Mandela wamekuwa wanafuatilia Droo ya kombe la dunia

 

10 years ago

Habarileo

Mbivu, mbichi CDA Septemba 7

Sehemu ya ofisi za CDA mjini Dodoma.RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kuwa na subira wakati suala la mgogoro kati ya Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) na wananchi linashughulikiwa.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mbivu, mbichi za Tibaijuka kesho


NA MARIAM MZIWANDA
HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, kuhusiana na kupata mgawo wa fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow, inatarajiwa kutolewa kesho.

Profesa Tibaijuka, tayari amehojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma juu ya tuhuma hizo, ambapo alikiri kupata mgawo huo, lakini akaeleza kuwa ulikuwa ni msaada. Anatuhumiwa kukiuka  Sheria ya Maadili ya Utumishi wa Umma namba 12 (e) (1) ya mwaka 1995.
Mwanasheria wa Baraza hilo, Wema...

 

10 years ago

Habarileo

Mbivu, mbichi bungeni wiki hii

NI wiki ya lala salama katika Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge la Tanzania, lakini wiki ambayo unaweza kuiita ni ya kufahamu mbichi na mbivu kuhusu madai ya uchotaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow inayohusu Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).

 

10 years ago

Michuzi

supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata, korosho havisaidii urijari - Daktari

Dk Cuthbert Maendaenda akiwatwanga
lekcha wahariri mbalimbali mjini Morogoro
ULAJI wa supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata kwa dai kwamba vinaongeza urijali kwa wanaume kumeelezwa kuwa ni dhana potofu inayostahili kupigwa vita kwa kuwa haina uhusiano kati ya urijali wa mwanaume na virutubisho vinavyotolewa na vyakula hivyo.

Kauli hiyo imetolewa na Dk Cuthbert Maendaenda wakati akitoa mada yake katika semina ya wahariri iliyofanyika mkoani Morogoro iliyojadili nafasi ya wanaume...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Leo ni Bajeti Kuu

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, leo anatarajia kusoma Bajeti Kuu ya Serikali. Bajeti hiyo ambayo ni ya kwanza kwa Waziri Mkuya, inasomwa baada ya mawaziri wote kumaliza kusoma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani