Maandamano Algeria kumpinga Bouteflika
Vyama vya upinzani vimepinga harakati za rais Abdelaziz Bouteflika kutaka kuliongoza taifa hilo kwa muhula mwingine wa miaka minne.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC
Algeria votes on Bouteflika's future
Polls open in Algeria where 77-year-old President Abdelaziz Bouteflika, who suffered a stroke last year, is seeking a fourth term in office.
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Bouteflika ashinda uchaguzi Algeria
Rais Abdelaziz Bouteflika ameshinda uchaguzi mkuu uliofanyika mnamo siku ya Alhamisi nchini Algeria na sasa atatawala kwa muhula wa nne.
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Rais Bouteflika kugombea Urais Algeria
Wananchi wa Algeria leo wanapiga kura kumchagua Rais mpya . Rais Abdelaziz Bouteflika anayeugua kiharusi anawania kwa muhula wa 4.
11 years ago
BBCSwahili28 Sep
Maandamano ya kumpinga kabila yafanyika
Maelfu ya watu wameandamana nchini Jamhuri ya kidemorasi ya Congo wakimpinga rais wa taifa hilo Joseph Kabila.
11 years ago
TheCitizen19 Jan
Bouteflika sets Algeria presidential poll date
 Algeria’s ageing leader Abdelaziz Bouteflika on Friday called a presidential election for April 17, a day after returning from medical treatment in France, without indicating if he himself would stand.
5 years ago
Michuzi
Corona yaua DRC na Mauritius, Algeria yafuta maandamano

Waziri wa Afya wa DRC, Eteni Longondo amethibitisha hayo katika ujumbe wake kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Twitter jana Jumamosi, sanjari na kutangaza kesi tano mpya za wagonjwa wa Covid-19 nchini humo.
Aidha jana Jumamosi, Mauritius ilisajili kifo cha kwanza...
10 years ago
Michuzi
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
11 years ago
BBCSwahili22 Feb
Bouteflika atagombea tena urais
Kiongozi mkongwe wa Algeria asema ataka kuania tena uongozi katika uchaguzi ujao
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Bouteflika aapishwa kwa muhula wa 4
Rais Abdelaziz Bouteflika ameapishwa kwa muhula mwingine wa miaka 4 mamlakani katika hafla iliyofanyika mjini Algiers licha ya hali yake mbaya ya kiafya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania