Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano Algeria kumpinga Bouteflika

Vyama vya upinzani vimepinga harakati za rais Abdelaziz Bouteflika kutaka kuliongoza taifa hilo kwa muhula mwingine wa miaka minne.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Algeria votes on Bouteflika's future

Polls open in Algeria where 77-year-old President Abdelaziz Bouteflika, who suffered a stroke last year, is seeking a fourth term in office.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bouteflika ashinda uchaguzi Algeria

Rais Abdelaziz Bouteflika ameshinda uchaguzi mkuu uliofanyika mnamo siku ya Alhamisi nchini Algeria na sasa atatawala kwa muhula wa nne.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Bouteflika kugombea Urais Algeria

Wananchi wa Algeria leo wanapiga kura kumchagua Rais mpya . Rais Abdelaziz Bouteflika anayeugua kiharusi anawania kwa muhula wa 4.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano ya kumpinga kabila yafanyika

Maelfu ya watu wameandamana nchini Jamhuri ya kidemorasi ya Congo wakimpinga rais wa taifa hilo Joseph Kabila.

 

11 years ago

TheCitizen

Bouteflika sets Algeria presidential poll date

 Algeria’s ageing leader Abdelaziz Bouteflika on Friday called a presidential election for April 17, a day after returning from medical treatment in France, without indicating if he himself would stand.

 

5 years ago

Michuzi

Corona yaua DRC na Mauritius, Algeria yafuta maandamano

Mgonjwa wa corona ameaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hicho kikiwa ni kifo cha kwanza kilichosababishwa na ugonjwa huo nchini humo, huku kesi za maambukizi ya kirusi hicho barani Afrika zikiendelea kuongezeka.

Waziri wa Afya wa DRC, Eteni Longondo amethibitisha hayo katika ujumbe wake kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Twitter jana Jumamosi, sanjari na kutangaza kesi tano mpya za wagonjwa wa Covid-19 nchini humo.

Aidha jana Jumamosi, Mauritius ilisajili kifo cha kwanza...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bouteflika atagombea tena urais

Kiongozi mkongwe wa Algeria asema ataka kuania tena uongozi katika uchaguzi ujao

 

11 years ago

BBCSwahili

Bouteflika aapishwa kwa muhula wa 4

Rais Abdelaziz Bouteflika ameapishwa kwa muhula mwingine wa miaka 4 mamlakani katika hafla iliyofanyika mjini Algiers licha ya hali yake mbaya ya kiafya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani