Corona yaua DRC na Mauritius, Algeria yafuta maandamano
![](https://1.bp.blogspot.com/-07REiHKi67U/XncEEtMbS7I/AAAAAAALkrE/XtfsGEV5kLEfkKVb_exWsRKZAbBVp-fAACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7759865d0131m38g_800C450.jpg)
Mgonjwa wa corona ameaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hicho kikiwa ni kifo cha kwanza kilichosababishwa na ugonjwa huo nchini humo, huku kesi za maambukizi ya kirusi hicho barani Afrika zikiendelea kuongezeka.
Waziri wa Afya wa DRC, Eteni Longondo amethibitisha hayo katika ujumbe wake kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Twitter jana Jumamosi, sanjari na kutangaza kesi tano mpya za wagonjwa wa Covid-19 nchini humo.
Aidha jana Jumamosi, Mauritius ilisajili kifo cha kwanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Mar
Maandamano Algeria kumpinga Bouteflika
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Upinzani waitisha maandamano DRC
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Kanisa katoliki launga maandamano DRC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9CeB1*rHVx5DX7XeRPeGaugDV2ox2*O*8p78wjGlCt1ESJc-Tcz7qMDUIVI2w8LD1O0Ugscm1bOcpmkjpYFu283/ndege.jpg?width=650)
AJALI YAUA 100 ALGERIA
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya Corona: Mapambano dhidi ya Corona DRC
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mafuriko yaua watu 15 DRC
11 years ago
Mwananchi23 Jun
BRAZIL 2014: Algeria yaua, Ubelgiji yafuzu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rb1oJuq-NlU/Xqhow8zsWKI/AAAAAAALohA/M18CVjN1udwwiLbPp44q3jQkM6PRhAx2wCLcBGAsYHQ/s72-c/w.jpg)
KUFUATIA UGONJWA WA CORONA (COVID-19),UFARANSA YAFUTA MATUKIO YOTE YA KIMICHEZO KWA MWAKA 2019/0202
Waziri Mkuu wa Ufaransa Edouardo Philippe ametangaza rasmi kwamba ligi kuu nchini humo Maarufu kama ligue 1 matukio yote ya kimichezo kwa mwaka 2019/2020 nchini humo yamefutwa rasmi.
Uamuzi huo wakufutwa kwa matukio yote ya kimichezo nchini Ufaransa umekuja mara baada ya nchi tofauti Duniani kukumbwa na Ugonjwa wa Corona unaosababishwa na virusi vya Covid 19 ambapo mnamo tarehe 12 March mwaka huu nchi tofauti Duniani ilisimamisha shughuli zote za kimichezo katika nchi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
DRC YATANGAZA HALI YA HARI KUHUSU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s640/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
Rais Félix Tshisekedi alitangaza kuchukua hatua hizo jana jioni kupitia televisheni ya taifa.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, pamoja na kufunga mipaka ya nchi, kusitisha safari za ndani na nje ya mji mkuu zikiwemo za mabasi, ndege na majini, utekelezaji wa haraka unahitajika.
Mpaka sasa Jamhuri ya...