Upinzani waitisha maandamano DRC
Vyama kadhaa vya upinzani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo vimeitisha maandamano katika mji mkuu wa taifa hilo Kinsasha dhidi ya kuahirishwa kwa uchaguzi wa urais uliotarajiwa mwezi Novemba mwaka 2016.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Upinzani wafanya maandamano Pakistan
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Upinzani DRC: katiba imepinduliwa
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Kanisa katoliki launga maandamano DRC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-07REiHKi67U/XncEEtMbS7I/AAAAAAALkrE/XtfsGEV5kLEfkKVb_exWsRKZAbBVp-fAACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7759865d0131m38g_800C450.jpg)
Corona yaua DRC na Mauritius, Algeria yafuta maandamano
![](https://1.bp.blogspot.com/-07REiHKi67U/XncEEtMbS7I/AAAAAAALkrE/XtfsGEV5kLEfkKVb_exWsRKZAbBVp-fAACLcBGAsYHQ/s400/4bv7759865d0131m38g_800C450.jpg)
Waziri wa Afya wa DRC, Eteni Longondo amethibitisha hayo katika ujumbe wake kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Twitter jana Jumamosi, sanjari na kutangaza kesi tano mpya za wagonjwa wa Covid-19 nchini humo.
Aidha jana Jumamosi, Mauritius ilisajili kifo cha kwanza...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Ukawa sasa waitisha CCM
9 years ago
Habarileo28 Oct
Ndanda FC waitisha Stand United
TIMU ya soka ya Ndanda FC ya Mtwara imesema kipigo cha bao 1-0 ilichokipata kutoka kwa Azam Alhamisi wiki iliyopita kimewapa changamoto ya kujipanga vizuri zaidi kwa michezo ijayo ikianzia leo dhidi ya Stand United.
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Mgogoro Zanzibar waitisha CCM
*Yaunga mkono juhudi za Dk. Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar unaitia doa Tanzania kwenye uso wa kimataifa, licha ya kwamba Serikali ya awamu ya tano imeanza kutekeleza vizuri majukumu yake.
Nape ambaye jana alitembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, alisema kinachofanywa na Rais Dk. John Magufuli kwa sasa ni...
10 years ago
Mtanzania13 Nov
Wapiga kura wanaoelea waitisha CCM
Elias Msuya na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uendezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema licha ya matokeo ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuonesha kuwa chama hicho kinaongoza dhidi ya wapinzani, bado kuna wasiwasi wa kura za wananchi wasiofungamana na upande wowote (swing voters).
Akizungumza katika mjadala wa matokeo ya utafiti wa Twaweza wa Tanzania kuelekea 2015 uliozinduliwa jana jijini Dar es Salaam, Nape alisema kuna haja ya kuwaangalia wapiga kura...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...