Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bouteflika ashinda uchaguzi Algeria

Rais Abdelaziz Bouteflika ameshinda uchaguzi mkuu uliofanyika mnamo siku ya Alhamisi nchini Algeria na sasa atatawala kwa muhula wa nne.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Algeria votes on Bouteflika's future

Polls open in Algeria where 77-year-old President Abdelaziz Bouteflika, who suffered a stroke last year, is seeking a fourth term in office.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano Algeria kumpinga Bouteflika

Vyama vya upinzani vimepinga harakati za rais Abdelaziz Bouteflika kutaka kuliongoza taifa hilo kwa muhula mwingine wa miaka minne.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Bouteflika kugombea Urais Algeria

Wananchi wa Algeria leo wanapiga kura kumchagua Rais mpya . Rais Abdelaziz Bouteflika anayeugua kiharusi anawania kwa muhula wa 4.

 

11 years ago

TheCitizen

Bouteflika sets Algeria presidential poll date

 Algeria’s ageing leader Abdelaziz Bouteflika on Friday called a presidential election for April 17, a day after returning from medical treatment in France, without indicating if he himself would stand.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bilionea ashinda uchaguzi wa Ukraine

Matokeo ya kura yaliotangazwa nchini Ukraine yanaonyesha kuwa tajiri Petro Porishenko ameshinda awamu ya kwanza ya uchaguzi wa urais.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ouattara ashinda uchaguzi Ivory Coast

Alassane Ouattara ameshinda uchaguzi wa urais nchini Ivory Coast kwa wingi wa kura.Matokeo yalitangazwa kupitia runinga huku rais huyo akishinda kwa asilimia 84.

 

10 years ago

Vijimambo

Lungu ashinda uchaguzi wa urais Zambia

Edga lungu kulia aliyeshinda uchaguzi wa urasi nchini Zambia
Mgombea wa chama cha Patriotic Front Edga Lungu ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zambia.
Tume ya uchaguzi nchini humo imesema kuwa Lungu amepata asilimia 48 ya kura zilizopigwa.
Alikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa mgombea wa upinzani Hakainde Hichilema.Raia wa zambia wakati wa kampeni za ucvhaguzi wa urais
Wote walikuwa wameahidi kuboresha mifumo ya elimu na kubuni nafasi za ajira.
Uchaguzi huo uliandaliwa kufuatia kifo cha rais...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bashar Al Assad ashinda uchaguzi Syria

Rais Bashar Al Assad amepata ushindi mkubwa wa uchaguzi wa uraisnchini Syria kwa zaidi ya asili mia 89 ya kura

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli ashinda uchaguzi wa urais Tanzania

Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha CCM John Pombe Magufuli ndiye rais mteule wa taifa la tanzania baada ya kushinda uchaguzi mkuu uliokamilika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani