Lungu ashinda uchaguzi wa urais Zambia
Edga lungu kulia aliyeshinda uchaguzi wa urasi nchini Zambia
Mgombea wa chama cha Patriotic Front Edga Lungu ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zambia.
Tume ya uchaguzi nchini humo imesema kuwa Lungu amepata asilimia 48 ya kura zilizopigwa.
Alikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa mgombea wa upinzani Hakainde Hichilema.Raia wa zambia wakati wa kampeni za ucvhaguzi wa urais
Wote walikuwa wameahidi kuboresha mifumo ya elimu na kubuni nafasi za ajira.
Uchaguzi huo uliandaliwa kufuatia kifo cha rais...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnVWfS41a-YWDLfs6Gw*HWCyXJXrhl8aufqWZn55fa99xtep3F0LxToZnbQaNOi9Y0uUnDWptMUnTWOgok2wWjaA/LUNGU.jpg)
EDGA LUNGU ASHINDA URAIS ZAMBIA
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Magufuli ashinda uchaguzi wa urais Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FyALJDbAFis/XswPi0RdzvI/AAAAAAALrfE/coqd3YIPn-Ed7euQ0l60HVQ0R8Si292IwCLcBGAsYHQ/s72-c/_112460099_067a3e47-fc1e-44c4-a3d0-f5b11828fdf8.jpg)
Uchaguzi wa Burundi: Mgombea wa chama tawala Everiste Ndayishimye ashinda urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-FyALJDbAFis/XswPi0RdzvI/AAAAAAALrfE/coqd3YIPn-Ed7euQ0l60HVQ0R8Si292IwCLcBGAsYHQ/s640/_112460099_067a3e47-fc1e-44c4-a3d0-f5b11828fdf8.jpg)
Jenerali mstaafu ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya uchaguzi.
Haya ni matokeo ya awali ya uchaguzi , ambapo matokeo ya mwisho...
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Lungu ndiye mgombea wa PF Zambia
10 years ago
TheCitizen06 Nov
Zambia’s Lungu ‘to remain in office’
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80502000/jpg/_80502276_bc30d2ed-0fbf-4292-873c-934f4a505215.jpg)
Lungu wins Zambia presidential poll
9 years ago
Zambia Daily Mail06 Nov
Lungu stresses Zambia, Tanzania ties
Zambia Daily Mail
Zambia Daily Mail
PRESIDENT Lungu says he will work with Tanzanian President John Magufuli to strengthen the relations between the two countries. And President Lungu was yesterday among eight African heads of state at the inauguration of Dr Magufuli as fifth Tanzanian ...
'Pursue Stronger Zambia - Tanzania Ties'AllAfrica.com
Home Politics President Lungu was not Booed by Miners as reported by the...Lusaka Times
Zambia can learn from...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Rais Edgar Lungu kutibiwa nje ya Zambia
10 years ago
GPLJK AANDALIWA DHIFA NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA, MZEE KENNETH KAUNDA JIJINI LUSAKA