Bashar Al Assad ashinda uchaguzi Syria
Rais Bashar Al Assad amepata ushindi mkubwa wa uchaguzi wa uraisnchini Syria kwa zaidi ya asili mia 89 ya kura
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Urusi yashambulia maadui wa Assad Syria
Urusi imeanza kufanya mashambulizi ya anga dhidi ya wanaompinga rais wa Syria Bashar al-Assad
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Bouteflika ashinda uchaguzi Algeria
Rais Abdelaziz Bouteflika ameshinda uchaguzi mkuu uliofanyika mnamo siku ya Alhamisi nchini Algeria na sasa atatawala kwa muhula wa nne.
11 years ago
BBCSwahili26 May
Bilionea ashinda uchaguzi wa Ukraine
Matokeo ya kura yaliotangazwa nchini Ukraine yanaonyesha kuwa tajiri Petro Porishenko ameshinda awamu ya kwanza ya uchaguzi wa urais.
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Uchaguzi mkuu wafnyika Syria
Wakazi wa Damascus wameambia BBC kuwa wanampigia kura Rais Assad kwa sababu anapambana na tisho la ugaidi.
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Lungu ashinda uchaguzi wa urais Zambia
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/20/150120073313_zambia_uchaguzi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Mgombea wa chama cha Patriotic Front Edga Lungu ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zambia.
Tume ya uchaguzi nchini humo imesema kuwa Lungu amepata asilimia 48 ya kura zilizopigwa.
Alikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa mgombea wa upinzani Hakainde Hichilema.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/18/150118134528_zambia_640x360_bbc.jpg)
Wote walikuwa wameahidi kuboresha mifumo ya elimu na kubuni nafasi za ajira.
Uchaguzi huo uliandaliwa kufuatia kifo cha rais...
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ouattara ashinda uchaguzi Ivory Coast
Alassane Ouattara ameshinda uchaguzi wa urais nchini Ivory Coast kwa wingi wa kura.Matokeo yalitangazwa kupitia runinga huku rais huyo akishinda kwa asilimia 84.
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Rais Omar al Bashir ashinda uchaguzi
Rais wa Sudan, Omar al-Bashir amechaguliwa kwa muhula mwengine wa miaka mitano kuendelea kuiongoza nchi hiyo.
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Magufuli ashinda uchaguzi wa urais Tanzania
Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha CCM John Pombe Magufuli ndiye rais mteule wa taifa la tanzania baada ya kushinda uchaguzi mkuu uliokamilika.
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Marekani yapinga uchaguzi wa Urais Syria
Msemaji wa Ikulu ya White House ametaja uchaguzi wa Urais uliopangwa kufanywa nchini Syria kama "Mzaha wa Demokrasia".
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania