Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kifo cha Mathayo Hobden kuchunguzwa.

Kifo cha mchezaji kriketi Sussex Mathayo Hobden aliyekuwa na umri wa miaka 22 kinachunguzwa na jeshi la polisi nchini scotland.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

9 years ago

Mwananchi

Kesi ya kumpinga Dk Mathayo ‘ngoma nzito’

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, Aishiel Sumari ameombwa kumwelekeza naibu msajili wa mahakama hiyo kusajili kesi ya kupinga ushindi wa Dk David Mathayo wa CCM.

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY

Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' enzi za uhai wake. Familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake. Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali. Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Sina cha Kusema Wala Tamko Kuhusu Kifo cha Seki

Kufuatia kuhusishwa na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu Bilionea Lusekelo Samson Mwandenga ‘Seki’ aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita, Staa wa Bongo Movies Elizaberth Michael ‘Lulu’ amesema hana la kusema na hana tamko lolote fufuatia kifo cha Seki.

Akiongea na gazeti la Ijumaa Wikienda Juzi, lililotaka kujua taarifa za yeye kuhusishwa na bilionea huyo pamoja na mambo mengine, Lulu alijibu kwa kifupi;

Mwandishi: “Lulu kwanza tumesikia unaumwa na umelazwa, ni kweli?”

Lulu: “Siyo...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ATIA SANI KITABU CHA MAOMBOLEZO KIFO CHA NKURUNZIZA



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre  Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020. Wa pili kulia ni Balozi wa Burundi nchini, Mhe. Abayeho Gervais.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akitoa heshima baada ya kutia saini kitabu cha...

 

10 years ago

GPL

CHUO CHA IMAMU JAFAR SWADIQ CHAADHIMISHA KIFO CHA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)

Sheikh Hemed Jalala akiwahutubia waumini (Hawapo pichani). Baadhi ya viongozi wakiwa meza kuu.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

MATHAYO TORONGEY: Mfugaji wa kwanza kugombea ubunge Chalinze

MATUMAINI makubwa ya kuondoa changamoto na umasikini uliokithiri Chalinze, umewafanya wananchi wengi wa rika zote katika jimbo hilo, kuumunga mkono mgombea wa ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli: Waziri Mathayo pekee ndiye alitakiwa kuwajibishwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amesema ni waziri mmoja tu kati ya wanne walioondolewa mwishoni mwa mwaka jana, aliyestahili kuwajibishwa kutokana na kashfa ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwenye Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani