Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urambo kuandamana kumpinga Sitta

Samuel-Sitta

Mwenyekiti wa Bunge maalum la Katiba Samuel Sitta.

Na Mwandishi wetu

WAKAZI wa Urambo Mashariki wanatarajia kufanya maandamano yasiyokuwa na kikomo kupinga Rais Jakaya Kikwete asije kuingizwa kwenye mtego wa kupokea Rasimu iliyobeba maoni ya watu wenye uroho wa madaraka kama Mwenyekiti wa Bunge maalum la Katiba Samuel Sitta.

Akisoma Tamko lao kuhusu maandamano yao hayo ya kupinga vitendo vya Mwenyekiti wa Bunge hilo maalumu mbele ya  wandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Msemaji  wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Urambo wampinga Sitta

WAKAZI wa Urambo Mashariki, wanakusudia kuandamana kupinga katiba inayopendekezwa iliyopitishwa jana na Bunge Maalum la Katiba. Wakazi hao wamemlaumu Mwenyekiti wa Bunge hilo Samuel Sitta, kwa kuruhusu katiba inayopendekezwa kubeba...

 

11 years ago

Daily News

Sitta promises Urambo water


Daily News
Sitta promises Urambo water
Daily News
URAMBO East Member of Parliament, Mr Samuel Sitta has assured residents that the 3bn/- water project will be embarked on soon. Addressing a public rally at Urambo town, Mr Sitta said: “I want to assure you (Urambo residents) that you will soon have ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Meneja wa Sitta avua gamba Urambo

BARAZA la Vijana Taifa la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeibomoa ngome ya Mbunge wa Urambo Mashariki mkoani Tabora, Samuel Sitta, baada ya kuzoa wanachama wapya zaidi ya 200,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Washindwa kuandamana kupinga rasimu ya Sitta

WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Geita wameshindwa kuandamana kwa amani kupinga rasimu ya Kaitba mpya iliyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba jana baada jeshi la polisi...

 

10 years ago

Michuzi

mhe sitta afunga mafunzo ya waendesha bodaboda wilayani urambo, azindua tawi la umoja wa vijana wa CCM

Waziri wa Uchukuzi  Mhe Samuel Sitta akifunga mafunzo ya waendesha  boda boda chuo cha FDC wilaya Urambo leo. Pia amewaasa kuzingatia mafunzo walioyapata kuepuka ajali zinazoweza kuzuilika aidha ametoa wito kwa vijana hao kuwaamasisha wenzao kushiriki mafunzo na kujiendeleza na kozi nyingine za ufundi pale zinapobidi. Pia ameshiriki kutoa vyeti kwa wahitimu wa chuo hicho wapatao 63 Waziri wa Uchukuzi  Mhe Samuel Sitta akitoa cheti mwa mmoja wa wahitimu 63 wa kozi hiyo mafunzo ya waendesha...

 

10 years ago

Michuzi

Zitto Kabwe aongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo

 Kiongozi Mkuu wa Chama cha ATC Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo katika Mkutano Mkuu wa Jimbo la Urambo.  (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA) Wanachama wakimsikiliza kiongozi wao Mkuu. Wanachama wakimsikiliza Kionozi wao Mkuu kwa umakini mkubwa. Katibu Kata Urambo Kati, Mkulila Shabani akizungumza mbelea ya kiongozi Mkuu wa chama na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo  Mwenyeti Kata ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano Algeria kumpinga Bouteflika

Vyama vya upinzani vimepinga harakati za rais Abdelaziz Bouteflika kutaka kuliongoza taifa hilo kwa muhula mwingine wa miaka minne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano ya kumpinga kabila yafanyika

Maelfu ya watu wameandamana nchini Jamhuri ya kidemorasi ya Congo wakimpinga rais wa taifa hilo Joseph Kabila.

 

9 years ago

Habarileo

Chadema kumpinga Bashe mahakamani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Nzega mkoani Tabora kimetangaza kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliyompatia ushindi Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani