mhe sitta afunga mafunzo ya waendesha bodaboda wilayani urambo, azindua tawi la umoja wa vijana wa CCM
Waziri wa Uchukuzi Mhe Samuel Sitta akifunga mafunzo ya waendesha boda boda chuo cha FDC wilaya Urambo leo. Pia amewaasa kuzingatia mafunzo walioyapata kuepuka ajali zinazoweza kuzuilika aidha ametoa wito kwa vijana hao kuwaamasisha wenzao kushiriki mafunzo na kujiendeleza na kozi nyingine za ufundi pale zinapobidi. Pia ameshiriki kutoa vyeti kwa wahitimu wa chuo hicho wapatao 63 Waziri wa Uchukuzi Mhe Samuel Sitta akitoa cheti mwa mmoja wa wahitimu 63 wa kozi hiyo mafunzo ya waendesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Nov
Mhe.Balozi Liberata Mulamula akutana na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa Mhe.Mboni Mohamed Mhita Ubalozini Tanzania House Wsshington DC
11 years ago
Michuziwaendesha bodaboda lindi wapatiwa mafunzo, wapima afya kwa hiari
9 years ago
VijimamboMHE. ENG.HAMAD MASAUNI AFUNGUA MAFUNZO YA VIJANA WA TUEPO KUWAJENGEA UWEZO VIJANA KUJIAJIRI WENYEWE
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mhe.Eng.Hamad Masauni afungua mafunzo ya vijana wa TUEPO kuwajengea uwezo vijana kujiajiri wenyewe
11 years ago
MichuziMADIWANI WA CUF WILAYANI URAMBO WASHIRIKI MAPOKEZI YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE
11 years ago
Michuzi07 Jun
MKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA MADEREVA BODABODA NA WAJASIRIAMALI MAKETE
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Jumuiya ya umoja wa vijana (UVCCM) yawaonya viongozi CCM mkoa kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao
Katibu Mkuu wa UVCCM Wilaya ya Mkalama Florian Panga akizungumza kwenye kikao hicho.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imewataka viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Singida kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao binafsi kwani kufanya hivyo ni kuleta mpasuko na makundi miongoni mwao.
Changamoto hiyo imetolewa Wilayani hapa na Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhani Kapeto wakati akifunga kambi ya vijana wa Wilaya ya Mkalama ya siku saba kwenye shule ya...