Sitta: Sugu siyo saizi yangu
Mwenyekiti wa lililokuwa Bunge la Katiba, Samuel Sitta amesema hakuwahi kukaa na kuuahidi upinzani serikali tatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*Wu0GwRQP8auE*wh46peByASuppln4wbU4FKZLrR5eT6BogbmO9JRBWuDlBcRkvumhPAFZQ5bizaqtzl93zgoIV/4copy.jpg?width=650)
AUNT: MIMBA YANGU SIYO YA WAZIRI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqwQhbJ-0FPVvKtIsslbeozqJz-v0dTsIjLniVin6fEyaUXVGhGuYDYdE4Jm3aZv0gUJ*43apA*FHfe1qSNpOvvO/babadiamond.jpg?width=650)
BABA: DIAMOND SIYO RIZIKI YANGU
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Sugu afichua ulaghai wa Sitta
MBUGE wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ameeleza ulaghai alioutumia Samuel Sitta kupata ushindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba na kumfanya Andrew Chenge kujiondoa kwenye kinyang’anyiro...
10 years ago
CloudsFM13 Feb
Nyalandu: mimba ya Aunty Ezekiel siyo yangu
Waziri wa maliasili na utalii Mh. Lazaro Nyarandu amefunguka kuhusiana na taarifa zilizoenea kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel na kwamba ujauzito alionao msanii huyo ni wa kwake.
Mh.Nyalandu amekanusha habari hizo kupitia kupindi cha leo tena cha Clouds Fm wakati alipokuwa akihojiwa na mtangazaji wa kipindi hicho Husna Abdul ambapo pia alikuwa ameambatana na mkewe Faraja Kota.
Aidha alisema kuwa habari hizo zilitolewa na gazeti moja la hapa nchini...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Sugu: Samuel Sitta alisaliti ahadi yake
10 years ago
Mwananchi02 May
Waziri Sitta alitakiwa awajibike, siyo kulaumu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-cg_gVzIVkWk/Vb5VWvyTwkI/AAAAAAAAGHs/qFveagwbP_w/s72-c/mahanga.jpg)
SIASA SAIZI NI KILA KONA LEO DK. MAHANGA NAYE KATANGAZA KUKIHAMA CHAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-cg_gVzIVkWk/Vb5VWvyTwkI/AAAAAAAAGHs/qFveagwbP_w/s640/mahanga.jpg)
Mwanachama huyo ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira na Mbunge wa Segerea anayemaliza muda wake,Mh. Dkt. Makongoro Mahanga, ambaye leo ametangaza kukihama chama chake hicho, huku akitoa sababu za kutokuwepo kwa Demokrasia ya kweli ndani ya CCM na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s72-c/Faiza%2BAlly.jpg)
ALIEKUWA MCHUMBA WA MH SUGU AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA MHESHIMIWA SUGU HAMJALI MTOTO WALIOZAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s640/Faiza%2BAlly.jpg)
“Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa sana, kwa sababu na mwaka mzima kama nikipumzika kulia ni siku moja.”
![](http://4.bp.blogspot.com/-C13XujLAcN0/VJsfJQE-s5I/AAAAAAAAEkE/MCRdlC88XGs/s640/Faiza%2BAlly2.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...