Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufisadi Katiba Mpya

Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
MCHAKATO wa kupata Katiba Mpya ya nchi unadaiwa kugubikwa na wingu la ufisadi hali iliyosababisha Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) kuhoji tenda ya uchapwaji wa nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa kwa gharama ya Sh bilioni 6.
Hatua hiyo inakuja huku Watanzania wakiwa wanasubiri kupiga kura ya maoni inayotarajiwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu, ambapo inaelezwa taratibu za manunuzi zilikiukwa kwa baadhi ya kampuni zilizopewa kazi hiyo kuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya na mwarobaini wa ufisadi

Kwa miaka 50 sasa, taifa letu limeshuhudia ufisadi wa kutisha, huku baadhi ya viongozi wakijilimbikizia mali kwa upande mmoja na Watanzania wakiendelea kuishi katika lindi la umaskini kwa upande mwingine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

PROPAGANDA YA KATIBA MPYA: Ufisadi wa CCM

HAPO mwanzo, wakati Tanganyika inapata uhuru kulikuwapo na chama cha ukombozi wa Waafrika wa Tanganyika (TANU) ambacho kiliweza kuwaunganisha wananchi! Baadaye, TANU iliungana na ASP kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

11 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA


Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya

>Bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Katiba Mpya ilivyoligawa Taifa

>Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingi. Usemi huo umejidhihirisha kwenye mchakato wa mabadiliko ya Katiba ambao tayari umeonyesha kuligawa taifa katika makundi matatu; Serikali, taasisi za dini na vyama vya siasa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tumalize kwanza ufisadi, Katiba iwekwe kando

WANANCHI hawana sababu yoyote ya msingi inayosababisha waendelee kujikita kwenye mawazo mapya ya kuanza kufikiria  kukubali kuipigia kura katiba iliyopendekezwa na Bunge maalumu la katiba  wakati nchi imezungukwa na wingu zito la...

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi mpya kutikisa Bunge

>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kesho itawasha moto upya bungeni wakati itakaposoma ripoti maalumu ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ikitarajiwa kuibua kashfa tatu nzito ikiwamo ya misamaha ya kodi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msigwa aibua ufisadi mpya misitu

WAKATI Serikali ikiwekeza katika kupambana na ujangili nchini, imebainika kuwa raia kutoka China wamekuwa wakifanya ufisadi katika rasilimali za misitu hali inayohatarisha uhai wa rasilimali hiyo. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani