Hebu tudurusu ‘Ufisadi’ wa Lowassa na ‘Usafi’ wa Magufuli
NITAANZA makala yangu ya wiki hii kwa kurejea swali nililoliuliza mwishoni mwa ile ya wiki iliyop
Jenerali Ulimwengu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Aug
Je unajua Lowassa alichokifanya Leo?hebu tazama
Wakati ambapo wananchi wana kiu ya kufahamu Ukawa watafanya lini uzinduzi wa kampeni zao hasa kwa kuzingatia kuwa CCM imefanya uzinduzi wa kishindo jana katika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam, mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ameanza ziara ya kupanda usafiri wa umma (daladala). Lowassa ameanza ziara yake asubuhi hii ambapo anapanda katika usafiri huo wa umma kwa lengo la kuwafikia wananchi wa maisha ya chini kabisa ili awasikilize kwa ukaribu na kufahamu kero zao. Katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-N2LxV9X4kPw/VRHLV0HZ6PI/AAAAAAAAAts/mWlBiAxNcqA/s72-c/lowaasa.jpg)
AKATI WAGOMBEA WENGINE NDANI YA CCM WANA MLALAMIKIA LOWASSA HEBU TUJIULIZE HAYA MASWALI....
![](http://3.bp.blogspot.com/-N2LxV9X4kPw/VRHLV0HZ6PI/AAAAAAAAAts/mWlBiAxNcqA/s640/lowaasa.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sc-xA_49dck/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Magufuli: Jengeni utamaduni wa usafi
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Magufuli aongoza Watanzania kufanya usafi
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Rais Magufuli aongoza Watanzania kufanya usafi
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Dk. John Magufuli jana aliwaongoza Watanzania kote nchini kutumia siku ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru wa Tanganyika kufanya usafi katika maeneo ya soko la Feri jijini Dar es Salaam.
Akiwahutubia wananchi wakiwamo wavuvi alioshirikiana nao katika kazi ya kufanya usafi, Dk. Magufuli aliwashukuru kwa kujitokeza na kusema kwamba hiyo ni chachu kwa wananchi wengine kujitolea kufanya usafi katika maeneo wanayoishi.
“Ni aibu kwa nchi yetu ya Tanzania...
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Magufuli asaka vinara ufisadi wa mabilioni
*Awataka waliohusika na kashfa ya Sh trilioni 1.3 watoe ushirikiano
* aliyekuwa bosi TRA, Harry Kitilya, mtoto wa Waziri wahusushwa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Mahakama ya London, Uingereza kubaini ufisadi wa Sh trilioni 1.3, zilizotokana na mkopo uliotolewa na benki ya Standard ya Uingereza kwa Serikali ya Tanzania, Ikulu imeanza kusaka watu waliosababisha hasara hiyo.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,...
9 years ago
StarTV01 Sep
Magufuli awaonya maafisa wanaoendeleza ufisadi
Wakati akampeni za kuelekea uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika octoba 25 mwaka huu Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli ametoa onyo kali kwa maafisa walio katika taasisi za serikali na halmashauri mbalimbali nchini wanaoendeleza na kufumbia,macho maswala ya,Rushwa na vitendo vya ufisadi na kuwa kikwa kwa maendeleo.
Magufuli ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM ambaye pia ni waziri wa Ujenzi ametoa kauli hiyo wakati akiwahutubia...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar06 Oct
Magufuli Akichaguliwa Ufisadi Na Umasikini Vitaongezeka
John Magufuli Tuesday, October 6, 2015 Na Ananilea Nkya Mwandishi wa makala hii ni Ananilea Nkya ambaye ni Mkurugenzi Mstaafu wa TAMWA. ****** Watu wanaokampeni kushawishi Watanzania wamchague John Magufuli kuwa Rais wa tano wa Tanzania […]
The post Magufuli Akichaguliwa Ufisadi Na Umasikini Vitaongezeka appeared first on Mzalendo.net.