RC WANGABO AWAONYA WAKURUGENZI WANAOENDELEZA UDUMAVU KWA WATOTO RUKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cIXKga15kYA/Xl1mL5t_rJI/AAAAAAALgec/rohC79rmR6YNml2BDS_llHBsB3Sy8uy5QCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3612-768x513.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akiwaonesha wajumbe wa Kamati ya Lishe ya Mkoa pamoja na Halmashauri Kadi maalumu inyofafanua Tathmini ya utekelezaji wa Afua za lishe (score card) katika Mkoa wa Rukwa
……………….
Mwenyekiti wa kamati ya lishe ya mkoa ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wajumbe wa kamati hiyo kuandaa zawadi kwaajili ya Mkurugenzi wa halmashauri anaefanya vizuri na anayefanya vibaya katika kutenga shilingi 1,000 kwaajili ya kila mtoto wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV01 Sep
Magufuli awaonya maafisa wanaoendeleza ufisadi
Wakati akampeni za kuelekea uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika octoba 25 mwaka huu Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli ametoa onyo kali kwa maafisa walio katika taasisi za serikali na halmashauri mbalimbali nchini wanaoendeleza na kufumbia,macho maswala ya,Rushwa na vitendo vya ufisadi na kuwa kikwa kwa maendeleo.
Magufuli ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM ambaye pia ni waziri wa Ujenzi ametoa kauli hiyo wakati akiwahutubia...
5 years ago
MichuziWadau wakutanishwa na Lishe Endelevu kutokomeza udumavu Rukwa
Katika kikao hicho kilichoongozwa na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule aliyemuwakilisha mkuu wa mkoa wa Rukwa alisema kuwa mbali na mpango mkakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SgkBaTlylcE/Xt0UQcJl0KI/AAAAAAALs7k/R60KJhVa2MsUjPZLvfw2mm8RdHYWq5FtwCLcBGAsYHQ/s72-c/67421f47-7347-4ba0-b7ab-f4896db111d1.jpg)
RC Wangabo asaidia nguvu za wananchi katika utekelezaji wa mwaka wa mtoto Rukwa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SgkBaTlylcE/Xt0UQcJl0KI/AAAAAAALs7k/R60KJhVa2MsUjPZLvfw2mm8RdHYWq5FtwCLcBGAsYHQ/s640/67421f47-7347-4ba0-b7ab-f4896db111d1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akishiriki na Wananchi katika kusafisha eneo la Shule ya Msingizi Shikizi ya kijiji cha Majengo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6249e815-a4c1-45d7-a77d-31b1d5975a98.jpg)
Katika kuhakikisha kila mtoto anapata haki ya kusoma bila ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-99fOF03o_Mw/XpCq-ssZ4zI/AAAAAAALmuk/DEe7lYD_-HsjRPhR1ghBGvymi2lPv9btgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0412AA-768x513.jpg)
RC Wangabo Awataka Wananchi Kulinda Mipaka Huku 49 Wakiwekwa Karantini Mkoani Rukwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-99fOF03o_Mw/XpCq-ssZ4zI/AAAAAAALmuk/DEe7lYD_-HsjRPhR1ghBGvymi2lPv9btgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0412AA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0417AA-1024x685.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0381AAA-1024x685.jpg)
Afisa Afya wa Mkoa wa Rukwa Kennedy Kyauke akitoa elimu ya hatua za kunawa mikono kwa...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Asilimia 40 ya watoto wana udumavu
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Maisha ya watoto yanavyopotea kutokana na udumavu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5DjVwPp8M5A/VN9B4s-dzRI/AAAAAAAAGbU/UgepUpxliFI/s72-c/P2148627.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AKABIDHI KATIBA PENDEKEZWA KWA WILAYA ZOTE MKOANI RUKWA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5DjVwPp8M5A/VN9B4s-dzRI/AAAAAAAAGbU/UgepUpxliFI/s1600/P2148627.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsx5v0QuooU/VN9BuBHNpeI/AAAAAAAAGak/CTL7oyA_rts/s1600/P2148600.jpg)
5 years ago
MichuziRC Wangabo atimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutembelea kwa mlemavu
Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...