Asilimia 40 ya watoto wana udumavu
>Asilimia 42 ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano nchini wana udumavu huku asilimia 50 ya kaya zikiwa hazitumii chumvi yenye madinijoto kwenye mlo wa kila siku hivyo, kuhatarisha ukuaji wa akili kwa watoto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Watoto asilimia 33 nchini wana upungufu Vitamin A
TAASISI ya Chakula na Lishe Tanzania, imesema asilimia 33 ya watoto walio na umri chini ya miaka 5 nchini wana upungufu wa vitamini A. Mtaalamu wa chakula na lishe kwa...
10 years ago
Habarileo04 Jan
Arusha pamoja na kuwapo chakula, udumavu asilimia 44
WAKATI kiwango cha udumavu wa watoto chini ya miaka mitano nchini kikifikia asilimia 42 kitaifa, hali ni mbaya zaidi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini ukiwemo Mkoa wa Arusha ambao una asilimia 44 ya watoto chini ya miaka mitano wanaokabiliwa na tatizo hilo.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Maisha ya watoto yanavyopotea kutokana na udumavu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cIXKga15kYA/Xl1mL5t_rJI/AAAAAAALgec/rohC79rmR6YNml2BDS_llHBsB3Sy8uy5QCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3612-768x513.jpg)
RC WANGABO AWAONYA WAKURUGENZI WANAOENDELEZA UDUMAVU KWA WATOTO RUKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cIXKga15kYA/Xl1mL5t_rJI/AAAAAAALgec/rohC79rmR6YNml2BDS_llHBsB3Sy8uy5QCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3612-768x513.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akiwaonesha wajumbe wa Kamati ya Lishe ya Mkoa pamoja na Halmashauri Kadi maalumu inyofafanua Tathmini ya utekelezaji wa Afua za lishe (score card) katika Mkoa wa Rukwa
……………….
Mwenyekiti wa kamati ya lishe ya mkoa ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wajumbe wa kamati hiyo kuandaa zawadi kwaajili ya Mkurugenzi wa halmashauri anaefanya vizuri na anayefanya vibaya katika kutenga shilingi 1,000 kwaajili ya kila mtoto wa...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Wanaume asilimia 49 wabambikiwa watoto
Ruth Mkeni, Dar es Salaam
ASILIMIA 49 ya matokeo ya uchunguzi wa Makosa ya Vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka, yanaonesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samweli Manyele, alisema asilimia 100 ya sampuli zinazofikishwa ofisini kwake kwa ajili ya uchunguzi zinaonesha kiwango hicho kuwa baba anayedhaniwa siye.
“Kesi zinazopelekwa katika maabara yetu...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Asilimia 51 ya watoto nchini hatarini kufa
10 years ago
Habarileo30 Jan
‘Asilimia 90 ya watoto wote wanapata chanjo’
RAIS Jakaya Kikwete amesema asilimia 90 ya watoto wote wa Tanzania sasa wanapata chanjo kutokana na kazi inayofanywa na Taasisi ya Kusambaza Chanjo Duniani ya Global Alliance for Vaccines and Immunisazation (GAVI).
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Asilimia 95 ya watoto kupewa chanjo ya surua na rubella
HALMASHAURI ya Wilaya ya Iringa inatarajia kutoa chanjo ya surua na rubella kwa watoto 111,711 na dawa za matende na mabusha kwa watu wazima 264,076 katika kampeni inayoendelea nchini. Akizungumza...
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Asilimia 49 ya wanaume Tanzania, si wazazi halali wa watoto wao
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika maabara yetu zinazohusu...