Watoto asilimia 33 nchini wana upungufu Vitamin A
TAASISI ya Chakula na Lishe Tanzania, imesema asilimia 33 ya watoto walio na umri chini ya miaka 5 nchini wana upungufu wa vitamini A. Mtaalamu wa chakula na lishe kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Asilimia 40 ya watoto wana udumavu
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Asilimia 51 ya watoto nchini hatarini kufa
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Wanawake nao wana upungufu wa nguvu za kike; Soma hapa
NI Jumanne tena huku tumbuatumbua majipu ya serikali ikizidi kupamba moto, safu hii inaendelea kuwaletea elimu kubwa ili kuwaweka wasomaji wake kwenye uelewa mkubwa kuhusu mapenzi na maisha.
INAVYOJULIKANA
Mara nyingi wanaume wamekuwa wakitajwa kama sababu kubwa ya wanawake kutofika katika matarajio ya safari ya tendo la ndoa pindi wanaposhiriki.
Hii inatokana na ukweli wa kibaiolojia kuwa, mwanaume wa kawaida hufika mwisho ndani ya wastani wa dakika 2.3 hadi 5 wakati mwanamke hufika kwa...
9 years ago
Bongo531 Dec
Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70
![Anorgasmia](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Anorgasmia-300x194.jpg)
Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.
Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.
Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.
Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R2fFmfOR9tE/VnE4vy5s99I/AAAAAAAIMss/4PCgOfVXrGU/s72-c/ummy-mwalimu-oct25-2013.jpg)
WAZAZI WAMETAKIWA KUWAPELEKA WATOTO KUPATA MATONE YA VITAMIN 'A'
![](http://4.bp.blogspot.com/-R2fFmfOR9tE/VnE4vy5s99I/AAAAAAAIMss/4PCgOfVXrGU/s320/ummy-mwalimu-oct25-2013.jpg)
Na Chalilla Kibuda,Globu ya JamiiWAZAZI na walezi nchini wametakiwa kuwapeleka
watoto wao kwenye vituo vya afya ili wakapate matone
ya vitamini A na dawa za minyoo ili kujikinga na maradhi mbalimbali yatokanayo na kukosekana kwa vitamini 'A'.
Wito huo umetolewa Dar es Salaam na Mtaalamu wa
Chakula na Lishe kutoka Taasisi ya Chakula na LisheTanzania (TFNC), Francis Modaha, wakati alipokuwa
akizungumza na waandishi habari kuhusu uhamasishaji wa utoaji wa matone ya vitamini A na dawa za...
10 years ago
Habarileo27 May
Watoto miaka mitano kupewa vitamin A, dawa za minyoo
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania ikishirikiana na Manispaa zote za Mkoa wa Dar es Salaam wamepanga kutoa matone ya vitamin A na dawa ya minyoo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Halmashauri ya wilaya ya Singida yatoa chanjo ya Vitamin “A” kwa watoto 39,166
Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari za tarafa ya Mtinko wakiwa kwenye na mabango yenye ujumbe wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika iliyofanyika kiwilaya kata ya Ughandi, Singida vijijini.
Vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitumbuiza kwenye sherehe za siku ya mtoto wa Afrika.
Kikundi cha kwaya kilichokuwa kikitoa burudani ya nyimbo mbali mbali zilizokuwa na ujumbe unaoashiria kupiga vita mimba na ndoa za utotoni.
Wanafunzi wa shule mbali mbali za msingi na sekondari...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0003.jpg?width=640)
JAJI RUTAKANGWA: BADO KUNA UPUNGUFU WA MAJAJI NCHINI