Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto miaka mitano kupewa vitamin A, dawa za minyoo

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania ikishirikiana na Manispaa zote za Mkoa wa Dar es Salaam wamepanga kutoa matone ya vitamin A na dawa ya minyoo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO KUSAJILIWA NA KUPEWA VYETI BURE MKOANI MWANZA

Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mhe Zainab Rajabu Telack akiwahutubia Wananchi waliojitokeza katika Sherehe za uzinduzi wa Mkakati wa Uasajili na kutoa Vyeti vya kuzaliwa bure kwa Watoto wenye Umri chini ya miaka Mitano kwa kifupi (U5BRI) hafla iliyofanyika katika viwanja vya Kituo cha Afya Project wilayani Sengerema.
Mkuu wa wilaya hiyo akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Magesa Stanslaus Mulongo kama Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi katika...

 

10 years ago

StarTV

Serikali yafanikiwa kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano

Na Wilson Elisha,

Mwanza

 

Kupungua kwa vifo vya watoto wenye umri chini ya miaka mitano kutoka vifo 147 mwaka 1999 hadi kufikia vifo 54 mwaka 2013 kwa kila vizazi hai 1, 000 kunatokana na juhudi za serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo  na sekta binafsi katika sekta ya afya.

 

Hali hiyo imechangia kufikia lengo la maendeleo ya Milenia namba nne la kupunguza vifo vya wanawake wajawazito na watoto wachanga kwa kasi zaidi kupitia mpango wa matokeo makubwa sasa katika sekta ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WANAPASWA KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO WALIO CHINI YA MIAKA MITANO KUEPUSHA HATARI INAYOWEZA KUWAKABILI.

PATRICIA KIMELEMETA
Daktari wa watoto katika Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Lucy Mpayo amesema kuwa, ulinzi wa watoto walio chini ya miaka mitano unaanzia kwa mzazi/ mlezi na jamii kwa ujumla.
Dk. Lucy amesema kuwa, watoto hao wanapaswa kuangaliwa kwa ukaribu kwa sababu uwezo wao wa kujilinda bado ni mdogo na kwamba hawawezi kupambana na hatari yoyote inayojitokeza dhidi yao.
Amesema kuwa, kutokana na hali hiyo, wazazi,walezi na jamii kwa ujumla wanapaswa kuwalinda watoto hao hali ambayo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dar waendelea na kumeza dawa kijikinga na Minyoo, Matende na Mabusha

1

Baadhi wa wakazi wa Dar es Salaam waliokutwa na mpiga picha wetu wakimeza vidonge vya kuzuia minyoo, matende na mabusha kwenye kituo cha kusubiri abiri wa Kivuko cha Kigamboni jijini Dar es Salaam.Aliyekaa chini na aliyesimama (aliyeshika kipima urefu) ni watumishi wa Wizara ya Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto wakigawa dawa hizo baada ya kumpima mwananchi urefu.

2

3

Kampeni ya Ugawaji wa Dawa za kujikinga na magonjwa ya minyoo, matende na mabusha inaanza jijini Dar es Salaam...

 

5 years ago

Michuzi

WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA MITANO HADI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKUTWA WAMEHIFADHIWA KWENYE NYUMBA YA MTU BINAFSI MKOANI ARUSHA ...POLISI WATOA NENO

Na Woinde Shizza,Arusha


JESHI  la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watoto sita raia  wa Ethiopia akiwemo mwenye umri wa miaka mitano baada ya kukuta wamehifadhiwa kwenye nyumba ya mtu binafsi eneo la Ngureso katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Akizungumzia tukio hilo leo Kamanda wa Polisi omkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa watoto hao wenye umri wa miaka mitano hadi 12 waligundulika  Februari 20  mwaka huu  kuhifadhiwa nyumbani kwa Amina Ally na Mohammed Mahamudu mkazi wa Ngusero...

 

9 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI

 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akizungumza juu ya Upungufu wa vitamini na Baadhi ya Madini muhimu kama Vitamini A, folate, Madini chuma Zinki na madini joto ni chazo cha vifo kwa Watoto chini ya miaka Mitano na chanzo kikubwa cha maradhi mbalimbali kote Duniani, kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa Taasisi ya Global Alliance for Iproved Nutrition (GAIN) ,Marc van Amerngen katika mkutano uliofanyika  leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa...

 

9 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?

Kwanza kabisa napenda niwaombe radhi wasomaji wangu wa safu  hii ya   ‘Ukweli Utakuweka huru’ kwa kuzikosa  mada zangu kwa takriban  mwezi mmoja. Hali hii ilitokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto asilimia 33 nchini wana upungufu Vitamin A

TAASISI ya Chakula na Lishe Tanzania, imesema asilimia 33 ya watoto walio na umri chini ya miaka 5 nchini wana upungufu wa vitamini A. Mtaalamu wa chakula na lishe kwa...

 

9 years ago

Michuzi

WAZAZI WAMETAKIWA KUWAPELEKA WATOTO KUPATA MATONE YA VITAMIN 'A'


Na Chalilla Kibuda,Globu ya JamiiWAZAZI na walezi nchini wametakiwa kuwapeleka 
watoto wao kwenye vituo vya afya ili wakapate matone 
ya vitamini A na dawa za minyoo ili kujikinga na maradhi mbalimbali yatokanayo na kukosekana kwa vitamini 'A'.
Wito huo umetolewa Dar es Salaam na Mtaalamu wa 
Chakula na Lishe kutoka Taasisi ya Chakula na LisheTanzania (TFNC), Francis Modaha, wakati alipokuwa 
akizungumza na waandishi habari kuhusu uhamasishaji wa utoaji wa matone ya vitamini A na dawa za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani