JAJI RUTAKANGWA: BADO KUNA UPUNGUFU WA MAJAJI NCHINI
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0003.jpg?width=640)
Mgeni rasmi Jaji wa Mahakama ya Rufani, Edward Rutakangwa (katikati) akiwasili kufungua rasmi mafunzo ya siku nne juu ya sheria za kimataifa za kazi kwa majaji na wasajili wa mahakama nchini yalioandaliwa na Shirika la Kazi Duniani mjini Bagamoyo. Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la kazi duniani kwenye nchi nne Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda, Alexio Musindo. Meza kuu ikipitia makabrasha yao kabla ya kufunguliwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 May
Mahakama Kuu bado ina upungufu wa majaji
JAJI Kiongozi Fakhi Jundu amesema Mahakama Kuu bado inakabiliwa na tatizo la upungufu wa majaji, jambo linalosababisha jaji mmoja kusikiliza mashauri mengi kwa mwaka.
11 years ago
Mwananchi02 May
Majaji Jundu, Rutakangwa wateuliwa Mahakama EAC
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Jaji Mkuu: Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gokySz8j2-M/Uu-Vb5uboFI/AAAAAAAAiyM/IaRA1A9Tul8/s72-c/1.jpg)
SIKU YA SHERIA DUNIANI YAFANYIKA MKOANI DODOMA, WALIA NA UPUNGUFU WA MAJAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gokySz8j2-M/Uu-Vb5uboFI/AAAAAAAAiyM/IaRA1A9Tul8/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rk3kVSD6eeM/Uu-VfXSmgcI/AAAAAAAAiyc/nGcaCnMRSLA/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EvRyJFIMfTM/Uu-Ve8Hf1VI/AAAAAAAAiyU/PfY-5u5UFxE/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0--UkC-et2M/Uu-Vmx6BiAI/AAAAAAAAiys/bNnaed7RP6Y/s1600/5.jpg)
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Jaji Mkuu apangua majaji
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
JAJI Mkuu, Mohammed Othman Chande, amewahamisha majaji 27 wa Mahakama Kuu Tanzania akiwamo Jaji John Utamwa aliyehamishiwa Mahakama Kuu Tabora na Jaji Dk. Fauz Twaib aliyehamishiwa Mahakama Kuu Mtwara.
Uhamisho huo ulifanyika mwishoni mwa wiki ambako majaji wengine walibadilishwa vituo vya kazi na wengine kuteuliwa kuwa wafawidhi wa kanda.
Majaji waliohamishwa ni Jaji Agathon Nchimbi aliyekuwa Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara kwenda Mahakama Kuu Ardhi, Jaji...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Jaji Mkuu: Majaji Escrow niachieni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Chande-14Jan2015.jpg)
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, ametaka suala linalohusu majaji wa Mahakama Kuu, Profesa Eudes Ruhangisa na Aloysius Mujulizi, waliotajwa kupata mgawo katika fedha zilizochotwa kutoka akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), aachiwe kulishughulikia mwenyewe.
Jaji Othman Chande alitoa kauli hiyo kupitia Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Ignas Kitusi, aliyezungumza na NIPASHE, ofisini kwake, jijini Dar es...
10 years ago
MichuziJAJI MKUU WA TANZANIA AFUNGUA RASMI MAFUNZO ELEKEZI YA MAJAJI WAPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-vyjiEBwdDXA/VASBBmo2VYI/AAAAAAAGaBc/SxRI3gb_5xg/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
GPLJAJI MARK BOMANI MGENI RASMI UTOAJI TUZO KWA WATANZANIA WALIOTOA MCHANGO MKUBWA KUTETEA HAKI NA JAMII NCHINI DAR ES SALAAM JANA