Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIKU YA SHERIA DUNIANI YAFANYIKA MKOANI DODOMA, WALIA NA UPUNGUFU WA MAJAJI

   Wakili  wa Serekali Mfawidhi mkoa wa Dodoma, Mhe Angaza Mwaipopo akifafanua jambo wakati wa sherehe ya siku ya sheria mjini Dodoma leo. Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Dodoma, Mhe Crecensia Makuru akizangumza jambo mbele ya watendaji na wadau wa mahakama wakati sherehe za siku ya Sheria zilizofanyika leo.  Wakili wa kujitegemea Mhe Mary Munissi wa mkoani Dodoma akielezea jambo wakati wa maadhimisho ya siku ya sheria yaliyofanyika leo  Mahakimu, Mawakili na watendaji wengine...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI YAFANYIKA MKOANI DODOMA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi David Misime akiongea jambo wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili kwa wanawake na watoto yaliyofanyika Bwalo la polisi Dodoma.
 Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Dodoma Bi. Amina Mfafaki akifafanua jambo wakati alipokuwa akiongea wakati wa kufunga maadhimisho ya siku 16 ya kupinga ukatili kwa wanawake na watoto katika ukumbi wa Bwalo la polisi Dodoma.


BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI YAFANYIKA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein kushoto anaepunga mkono akiyapokea maandamano ya Wafanyakazi wa Sekta mbalimbali katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (May Day) yaliofanyika Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar. Mashirika mbalimbali yakipita mbele ya Mgeni Rasmi hayupo pichani katika Maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (May Day) yaliofanyika Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar. Wafanyakazi wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo wakipita mbele ya Mgeni rasmi...

 

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA ZANZIBAR YAFANYIKA LEO


sh1Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akionesha kitabu cha Mwaka wa Sheria kama ishara ya uzinduzi wa kitabu hicho samba samba na maadhimishoya siku ya Sheria Zanzibar(kulia) Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu,Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mohamed Othman Chande (kushoto) na Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis Bakary(wa pili kushoto). sh9 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa...

 

10 years ago

GPL

MAADHIMISHO YA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU DUNIANI YAFANYIKA JIJINI DAR

 Blass Band ya Jeshi la Polisi ikiongoza maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu Duniani  na Miaka 66 ya Tamko la Kimataifa la Haki za Binadamu. Maandamano hayo yaliyoanzia Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima hadi Makumbusho ya Taifa  Dar es Salaam leo asubuhi  yaliandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).… ...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA 12 WA MAJAJI WANAWAKE DUNIANI WAENDELEA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA (AICC) MKOANI ARUSHA

 Mhe. Jaji Sanji Monageng ambaye ni Makamu wa Rais wa Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (ICC) Botswana akitoa mada katika Mkutano wa Majaji Wanawake unaoendelea kufanyika katika UKUMBI wa (AICC) mkoani Arusha.  Mhe. Jaji Mstaafu Eusebia Munuo, Rais wa Chama cha Majaji Duniani (IAWJ) pamoja na wenzake wakifuatilia Mada katika Mkutano huo.  Wajumbe wa Mkutano huo wakifuatilia mada katika Mkutano huo mapema leo.  Wajumbe wa Mkutano huo wakifuatilia mada katika Mkutano huo mapema leo. Baadhi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani yafanyika jijini Dar es salaam

1

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dkt. Othmani Kiloloma akiwaeleza waandishi wa habari(hawapo pichani) majukumu wanayotekeleza katika kuhakikisha wanakabiliana na tatizo la Mgongo wazi na Vichwa vikubwa ikiwamo kutoa elimu bora kwa madaktari wanaosomea somo hilo, kwenda mikoani kutoa tiba kwa watoto wenye matatizo hayo,wakati wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na na Mgongo wazi duniani jana Jijini Dar es salaam....

 

10 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani yafanyika leo jijini Dar es salaam.

 Mlezi wa Chama cha Wazazi wenye Watoto wa Kichwa Kikubwa na Mgongo Wazi (ASBHAT) Mama Dorcas Membe akiteta jambo na moja ya mtoto mwenye tatizo la kichwa kikubwa anayepata huduma Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI).

 Mlezi wa Chama cha Wazazi wenye Watoto wa Kichwa Kikubwa na Mgongo Wazi (ASBHAT) Mama Dorcas Membe, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dkt. Othmani Kiloloma(Kulia), Mwenyekiti wa...

 

9 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU YA MTINDIO WA UBONGO DUNIANI KITAIFA YAFANYIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa Chama cha Wazazi wa Watoto Wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo Tanzania (Chawaumiviata), Hilal Said wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maadhimisho ya Siku ya Mtindio wa Ubongo Duniani yaliyoadhimishwa viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam jana. Mzazi mwenye mtoto mwenye changamoto ya maradhi hayo, Titus Chengula akizungumza na waandishi wa habari katika maadhimisho hayo. Hapa wakiwa katika picha ya pamoja.


Na Dotto MwaibaleWAKUU wa Shule mbalimbali wametakiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama Kuu bado ina upungufu wa majaji

JAJI Kiongozi Fakhi Jundu amesema Mahakama Kuu bado inakabiliwa na tatizo la upungufu wa majaji, jambo linalosababisha jaji mmoja kusikiliza mashauri mengi kwa mwaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani