Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Mkuu: Majaji Escrow niachieni

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, ametaka suala linalohusu majaji wa Mahakama Kuu, Profesa Eudes Ruhangisa na Aloysius Mujulizi, waliotajwa kupata mgawo katika fedha zilizochotwa kutoka akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), aachiwe kulishughulikia mwenyewe.

Jaji Othman Chande alitoa kauli hiyo kupitia Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Ignas Kitusi, aliyezungumza na NIPASHE, ofisini kwake, jijini Dar es...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Jaji Mkuu apangua majaji

jaji_chandeNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

JAJI Mkuu, Mohammed Othman Chande, amewahamisha majaji 27 wa Mahakama Kuu Tanzania akiwamo Jaji John Utamwa aliyehamishiwa Mahakama Kuu Tabora na Jaji Dk. Fauz Twaib aliyehamishiwa Mahakama Kuu Mtwara.

Uhamisho huo ulifanyika mwishoni mwa wiki ambako majaji wengine walibadilishwa vituo vya kazi na wengine kuteuliwa kuwa wafawidhi wa kanda.

Majaji waliohamishwa ni Jaji Agathon Nchimbi aliyekuwa Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara kwenda Mahakama Kuu Ardhi, Jaji...

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU WA TANZANIA AFUNGUA RASMI MAFUNZO ELEKEZI YA MAJAJI WAPYA

Jaji Mkuu wa Tanzania,Mhe. Mohamed Chande Othman akitoa hotuba ya ufunguzi ya Semina elekezi ya Wahe. Majaji Wateule walioishwa hivi karibuni, lengo la Mafunzo likiwemo ni kuwapa Mwongozo juu ya utendaji kazi wa Mhimili wa Mahakama. Kundi la Majaji Wateule wakifuatilia hotuba ya Mhe. Jaji Mkuu alipokuwa akifungua rasmi Mafunzo hayo. Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman (aliyeketi katikati) na Viongozi wengine wa Mahakama na Chuo. Cha Uongozi wa Mahakama wakiwa katika picha ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow yamng’oa Mwanasheria Mkuu Jaji Werema

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia jana kutokana na kuhusishwa na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Mwananchi

Swali sakata la escrow ‘lamvunja mbavu’ Jaji Mkuu Chande

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande jana aliangua kicheko baada ya kuulizwa ni lini atatoa tamko la majaji wanaotuhumiwa katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Mtanzania

Majaji wa Escrow kitanzini

Hussein KatangaNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

TUME ya Utumishi wa Mahakama imesema suala la majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wanaotuhumiwa kupokea zaidi ya Sh milioni 400 kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow, limefika kwenye tume hiyo na linafanyiwa kazi.
Kwa utaratibu wa tume hiyo, baada ya uchunguzi taarifa hupelekwa kwa rais ambaye baada ya kupitia mapendekezo yaliyotolewa kwenye ripoti ya uchunguzi, hutoa uamuzi.
Hayo yalielezwa jana na Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Hussein Katanga, katika banda la Tume...

 

10 years ago

Habarileo

Majaji waliotajwa Escrow wachunguzwa

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muunngano wa Tanzania Mohamed Chande OthumanJAJI Mkuu, Mohamed Chande Othman amesema Kamati ya Maadili ya Majaji imeanza kushughulikia tuhuma za kinidhamu na kimaadili dhidi ya majaji wawili wa Mahakama Kuu, waliotajwa kupata mgawo katika fedha zilizochukuliwa kutoka akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Mwananchi

Hatma ya majaji escrow kuchukua muda mrefu

>Jaji Mkuu Mohamed Chande amesema hatma ya majaji wawili waliotajwa kupokea fedha zinazohusishwa na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, itachukua muda mrefu kwa kuwa uchunguzi huhitaji muda mrefu kukamilika.

 

11 years ago

GPL

JAJI RUTAKANGWA‏: BADO KUNA UPUNGUFU WA MAJAJI NCHINI

Mgeni rasmi Jaji wa Mahakama ya Rufani, Edward Rutakangwa (katikati) akiwasili kufungua rasmi mafunzo ya siku nne juu ya sheria za kimataifa za kazi kwa majaji na wasajili wa mahakama nchini yalioandaliwa na Shirika la Kazi Duniani mjini Bagamoyo. Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la kazi duniani kwenye nchi nne Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda, Alexio Musindo. Meza kuu ikipitia makabrasha yao kabla ya kufunguliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani