Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arusha pamoja na kuwapo chakula, udumavu asilimia 44

WAKATI kiwango cha udumavu wa watoto chini ya miaka mitano nchini kikifikia asilimia 42 kitaifa, hali ni mbaya zaidi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini ukiwemo Mkoa wa Arusha ambao una asilimia 44 ya watoto chini ya miaka mitano wanaokabiliwa na tatizo hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Asilimia 40 ya watoto wana udumavu

>Asilimia 42 ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano nchini wana udumavu huku asilimia 50 ya kaya zikiwa hazitumii  chumvi yenye madinijoto kwenye mlo wa kila siku hivyo, kuhatarisha ukuaji wa akili kwa watoto.

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima wapata ziada ya chakula asilimia 125

HALI ya chakula nchini kwa mwaka huu ni ya kuridhisha ambapo takwimu zinaashiria kuwepo kwa ongezeko kubwa la uzalishaji, ikiwa ni pamoja na ziada ya asilimia 125 katika mikoa 18, imeelezwa.

 

11 years ago

Michuzi

chakula cha pamoja siku ya Eid Mosi coventry

                                 ASSALAM  ALAIKUM

Madrasatul  Aqsaa  Coventry  UK inapenda  kuwajulisha kuwa  tumeandaa chakula cha  pamoja siku  ya  Eid Mosi kama  ifuatavyo:

Kiwango £6 kwa  watu  wazima na £4 kwa  watoto

Pahala: Muslim Resource  centre

               Red Lane, Coventry CV6 5EE

Tunapokea  majina  na  mwisho  ni Jumatatu  Tareh 21/7/2014

Kumbukeni  kwamba  tutaswali  sala ya  Eid  pale  pale  Muslim  Resource  Center.Darasa zentu  zinaendelea  LIVE  kama  kawaida...

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI GLOBAL WAONYESHA UPENDO, WALA PAMOJA CHAKULA CHA MCHANA

Baadhi ya ‘askari’ wa kikosi cha Global Publishers wakielekea kupata msosi wa nguvu mchana huu. Taswira ya msosi wa nguvu uliokuwa mezani.…

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 124

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza akizungumza na waandishi wa habari ( hawapo pichani) juu ya mafanikio ya uzalishaji wa chakula nchini kwenye viwanja vya Wakala wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa (NFRA) jijini Dar es Salaam leo.

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza akizungumza na waandishi wa habari ( hawapo pichani) kwenye viwanja vya Wakala wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa (NFRA) jijini Dar es Salaam leo.Kushoto ni Mkuregenzi wa...

 

9 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Kilele wa Dunia kuhusu Chakula na Lishe wafunguliwa Arusha

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda akihutubia kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katika Ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa unahusu masuala ya Lishe na Chakula uliofanyika jijini Arusha. Mhe. Pinda akihutubia Mfalme wa Lesotho Mhe. Letsie III ambaye nae alihudhuria mkutano huo akihutubia wadau mbalimbali na wageni waalikwa walioshiriki katika mkutano huo (hawapo pichani). Balozi wa Tanzania anayeiwakilisha nchini...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA SIKU MBILI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI, UHAKIKA WA CHAKULA NA HAKI ZA ARDHI ULIOANDALIWA NA OXFAM PAMOJA NA FORUM CC WAANZA LEO KATIKA UKUMBI WA KARIMJEE DAR.


Jenerali Ulimwenguambaye ndiye mwezeshaji akiendelea kutoa Mwongozo katika mkutano wa siku mbili juu ya mabadiliko ya Tabianchi, uhakika wa Chakula na haki za Ardhi mkutano ulioandaliwa na Oxfam pamoja na Forum CC Robert Muthami Program Support Officer kutoka Pan African Climate Justice Alliance (PACJA) akitoa ufafanuzi juu ya baadhi ya mambo yanayohusu mabadiliko ya Tabianchi.Meza ya Majaji wakiwa wanasikiliza kwa makini malalamiko ya walalamikaji kutoka Loliondo juu ya kuchukuliwa ardhi...

 

10 years ago

CloudsFM

Tamasha la chakula cha kiafrika kufanyika Jumapili hii jijini Arusha.

Tamasha la Chakula cha Kiafrika linatarajiwa kufanyika Jumapili hii jijini Arusha kwenye mgahawa wa Umbrella(Umbrella Garden and restaurant).

Akizungumzia tamasha hilo,Elihuruma Msengi alisema kuwa leo la kufanya tamasha la chakula cha Afrika ni kuwakumbusha Watanzania umuhimu wa lishe na chakula cha kiafrika kwani magonjwa mengi yanatokana na vyakula vya viwandani na pia kudumisha upendo na amani kwa wananchi wa jiji la Arusha. Aidha ameongeza kuwa siku hiyo ya Jumapili itakuwa ni siku ya...

 

11 years ago

GPL

JK AHUDHURIA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI ILIYOANDALIWA NA NSSF JIJINI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Ndg. Aboubakar Rajab wakati wakiingia Ukumbiti tayari kwa kushiriki chakula cha jioni na Wadau mbali mbali wa NSSF wanaohudhuria Mkutano wa Nne wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya Miaka 50 ya NPF-NSSF.
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani