Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamasha la chakula cha kiafrika kufanyika Jumapili hii jijini Arusha.

Tamasha la Chakula cha Kiafrika linatarajiwa kufanyika Jumapili hii jijini Arusha kwenye mgahawa wa Umbrella(Umbrella Garden and restaurant).

Akizungumzia tamasha hilo,Elihuruma Msengi alisema kuwa leo la kufanya tamasha la chakula cha Afrika ni kuwakumbusha Watanzania umuhimu wa lishe na chakula cha kiafrika kwani magonjwa mengi yanatokana na vyakula vya viwandani na pia kudumisha upendo na amani kwa wananchi wa jiji la Arusha. Aidha ameongeza kuwa siku hiyo ya Jumapili itakuwa ni siku ya...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YOTE JUMAPILI HII TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-(WASHINGTON DMV) -MABALOZI WA NA NCHI ZOTE ZA MASHARIKI WATHIBITISHA KUWEPO.


MAYOR WA MJI WA BLADENSBURG KUHUTUBIA, MABALOZI WA NCHI ZA AFRICA MASHARIKI WATAKUWEPO,FREE BOAT RIDE KUZUNGUKA MTO, MICHEZO YA WATOTO, UTAMADUNI WA AFRIKA MASHARIKI,VENDORS,CHAKULA CHA AFRIKA MASHARIKI KUTOKA SAFARI RESTAURANT DC, VINYWAJI BARIDI VYOTE VINAPATIKANA:                                               HAKUNA KIINGILIO NI BUREEE!

 

10 years ago

Dewji Blog

Mahafali ya Kidato cha nne shule ya sekondari WAMA-NAKAYAMA kufanyika jumapili hii

nyamisati10

TANGAZO- MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE WAMA NAKAYAMA2.pdf by moblog

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA TATU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATAALAMU WA MASUALA YA CHAKULA NA LISHE AFRIKA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA.

 Raisi wa FANUS  Prof.Joyce  Kinabo,akizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusiana na mkutano wa tatu wa shirikisho la vyama vya wataalamu wa masuala ya chakula na lishe Afrika,unaotarajiwa kufanyika Mei 24 hadi 29 jijini Arusha kushoto ni Dkt Joyceline Maganda Kaimu Mkurungenzi  Mtendaji ,Taasisi  ya Chakula na Lishe.Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO  Jiji Dar es Salaam leo.Baadhi ya waandishi  wa Habari walio hudhuria katika mkutano wa tatu wa...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA UPENDO WA MAMA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA TAREHE 2 NOVEMBA 2014

SAM_0646Engineer Carlos Mkindi ambaye ni mkurugenzi wa mkundi production akiongea na vyombo vya habari kuhusiana na Tamasha kubwa la upendo kwa mama linalotarajiwa kufanyika jijini Arusha katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid tarehe 02-11-2014SAM_0669Engineer Carlos Mkindi ambaye ni mkurugenzi wa mkundi production akiongea na wanahabari kuhusiana na Tamasha la Upendo kwa mama ambalo linalenga kutoa mitaji kwa zaidi ya akina mama 50 wajasiriamali ili kuwawezesha kujiajiri pamoja na kuwaombea na...

 

10 years ago

Michuzi

tamasha la sanaa na utamaduni la kimataifa Jambo festival kufanyika jijini arusha

Wasaniiwa muziki wa asili wakitoa burudani katika tamasha la Jambo festival.Mwenyekitiwa Tamasha la sanaa na utamaduni Arusha  maarufu kama JamboFerstival   Augustine Michael Namfua
Jiji la Arusha litatikiswa na tamasha la sanaa  na utamaduni la
kimataifa maarufu kama Jambo festival litakalojumuisha ngoma za asili,mavazi ya asili ,muziki wa asili,mavazi na vyakula  ,tamasha hilo litatikisa viunga vya jiji la Arusha ambalo ni kitovu cha utalii.
Takribani watu 3000 kutoka sehemu mbali mbali...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band inakukaribisha leo Thai Village kabla ya kuelekea jijini Arusha Jumapili hii

IMG-20150402-WA0076

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 (kulia)

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(katikati) akiimba na wenzake ambao ni Sam Mapenzi(kulia) pamoja na Ashura Kitenge (kushoto)

Aneth Kushaba AK 47 akiimba kwa hisia kubwa mbele ya mashabiki wake (hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kupata chakula cha Kiafrika Uingereza

Ughaibuni, huwa ni gharama kwenda hotelini kila siku. Lakini kuna njia nyingine ambazo unaweza kuzitumia kupata chakula cha Kiafrika.

 

11 years ago

GPL

JK KATIKA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI ILIYOANDALIWA NA NSSF JIJINI ARUSHA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Ndg. Aboubakar Rajab wakati wakiingia Ukumbiti tayari kwa kushiriki chakula cha jioni na Wadau mbali mbali wa NSSF wanaohudhulia Mkutano wa Nne wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya Miaka 50 ya...

 

11 years ago

GPL

JK AHUDHURIA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI ILIYOANDALIWA NA NSSF JIJINI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Ndg. Aboubakar Rajab wakati wakiingia Ukumbiti tayari kwa kushiriki chakula cha jioni na Wadau mbali mbali wa NSSF wanaohudhuria Mkutano wa Nne wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya Miaka 50 ya NPF-NSSF.
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani