Tamasha la chakula cha kiafrika kufanyika Jumapili hii jijini Arusha.
Tamasha la Chakula cha Kiafrika linatarajiwa kufanyika Jumapili hii jijini Arusha kwenye mgahawa wa Umbrella(Umbrella Garden and restaurant).
Akizungumzia tamasha hilo,Elihuruma Msengi alisema kuwa leo la kufanya tamasha la chakula cha Afrika ni kuwakumbusha Watanzania umuhimu wa lishe na chakula cha kiafrika kwani magonjwa mengi yanatokana na vyakula vya viwandani na pia kudumisha upendo na amani kwa wananchi wa jiji la Arusha. Aidha ameongeza kuwa siku hiyo ya Jumapili itakuwa ni siku ya...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s72-c/swahiliPicnic-1.png)
MAMBO YOTE JUMAPILI HII TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-(WASHINGTON DMV) -MABALOZI WA NA NCHI ZOTE ZA MASHARIKI WATHIBITISHA KUWEPO.
![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s640/swahiliPicnic-1.png)
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Mahafali ya Kidato cha nne shule ya sekondari WAMA-NAKAYAMA kufanyika jumapili hii
TANGAZO- MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE WAMA NAKAYAMA2.pdf by moblog
10 years ago
MichuziMKUTANO WA TATU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATAALAMU WA MASUALA YA CHAKULA NA LISHE AFRIKA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA.
10 years ago
Michuzi28 Sep
TAMASHA LA UPENDO WA MAMA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA TAREHE 2 NOVEMBA 2014
![SAM_0646](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/e3dJmXhQjId3suQ-VncEKuBoqKGItya038ImIBr44wcMwW_iZSpWMUoQVhAuYQGeEdaNeLux2-XcOEP6lgKJXv4ZouxWL-0qs1N6l2HErIvRmcQ=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0646.jpg)
![SAM_0669](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/jCOhgEN4EY_XZG2OID_g6zWjwDfUir9oIPeLCF55FDSghIZXnhuHHFo9HElqr-Rje3gBqrAN19lFtedPJSzQ_mFvaXIr4vNP4hm8yUPfEIQJBw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0669.jpg)
10 years ago
Michuzitamasha la sanaa na utamaduni la kimataifa Jambo festival kufanyika jijini arusha
Jiji la Arusha litatikiswa na tamasha la sanaa na utamaduni la
kimataifa maarufu kama Jambo festival litakalojumuisha ngoma za asili,mavazi ya asili ,muziki wa asili,mavazi na vyakula ,tamasha hilo litatikisa viunga vya jiji la Arusha ambalo ni kitovu cha utalii.
Takribani watu 3000 kutoka sehemu mbali mbali...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Skylight Band inakukaribisha leo Thai Village kabla ya kuelekea jijini Arusha Jumapili hii
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 (kulia)
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(katikati) akiimba na wenzake ambao ni Sam Mapenzi(kulia) pamoja na Ashura Kitenge (kushoto)
Aneth Kushaba AK 47 akiimba kwa hisia kubwa mbele ya mashabiki wake (hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village,...
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Kupata chakula cha Kiafrika Uingereza
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-qcOSqzHeXPA/U3KCOtemhXI/AAAAAAAFhcU/HZ81XwEc_eU/s1600/1.jpg)
JK KATIKA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI ILIYOANDALIWA NA NSSF JIJINI ARUSHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfhixL*GBLClhe*Pin7r7IA6ueto16ekSaji16w9b0yNoH6Dy9i-klBu3Tsi9sG4pBCWIssm4QtpHWs1AyGGbY8U/NSSF1.jpg?width=650)
JK AHUDHURIA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI ILIYOANDALIWA NA NSSF JIJINI ARUSHA