Wadau wakutanishwa na Lishe Endelevu kutokomeza udumavu Rukwa
Wadau mbalimbali wa maendeleo katika Mkoa wa Rukwa wamekutanishwa katika warsha ya wadau wa lishe ili kuhakikisha wanajadili na kushirikiana juu ya utekelezaji wa afua za lishe ndani ya mkoa huo na hatimae kutokomeza utapiamlo unaopelekea zaidi ya watoto 90,000 walio na umri wa chini ya miaka mitano kuwa na udumavu
Katika kikao hicho kilichoongozwa na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule aliyemuwakilisha mkuu wa mkoa wa Rukwa alisema kuwa mbali na mpango mkakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
ANGONET yahamasisha lishe kutokomeza udumavu na Utapiamlo
Katibu Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo. Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay mwanachama wa shirika hilo.(Picha na Mahmoud Ahmad).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HMgtcFM68yY/XrwmPzU-PdI/AAAAAAALqIU/I6h6I9Bau8YGuYHFmQs2fxCDSN7_KSiKwCLcBGAsYHQ/s72-c/MMPAANGA.jpg)
LISHE NA ELIMU DUNI SABABU KUBWA YA UDUMAVU IRINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HMgtcFM68yY/XrwmPzU-PdI/AAAAAAALqIU/I6h6I9Bau8YGuYHFmQs2fxCDSN7_KSiKwCLcBGAsYHQ/s640/MMPAANGA.jpg)
Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha Unga wa sembe wenye viini lishe cha AMP Super Sembe, Alfred Mpanga akizungumza kuhusu uzalishaji wa unga wenye viini lishe unaosaidia jamii kupambana na udumavu na utapiamlo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/aaa-3-1024x768.jpg)
Afisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa akizungumza na wanahabari hawapo pichani katika mahojiano maaluma kuhusu hali ya lishe mkoa wa Iringa. (Picha na denis Mlowe)
………………………………………………..
NA DENIS MLOWE,IRINGA
LISHE duni kutokana na wananchi kutokuwa na elimu ya ulaji wa vyakula vya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqymNL4Ef*toM4vOGB6gIZ4mFPUpx1ZsjMqjiAHZmys6ybRxgsYSQ161ul1E9iwAME2FXG3symYPkK1rPr6UyZJG/1.jpg?width=650)
WADAU WA MUZIKI WA DANSI WAKUTANISHWA NA TBC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cIXKga15kYA/Xl1mL5t_rJI/AAAAAAALgec/rohC79rmR6YNml2BDS_llHBsB3Sy8uy5QCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3612-768x513.jpg)
RC WANGABO AWAONYA WAKURUGENZI WANAOENDELEZA UDUMAVU KWA WATOTO RUKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cIXKga15kYA/Xl1mL5t_rJI/AAAAAAALgec/rohC79rmR6YNml2BDS_llHBsB3Sy8uy5QCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3612-768x513.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akiwaonesha wajumbe wa Kamati ya Lishe ya Mkoa pamoja na Halmashauri Kadi maalumu inyofafanua Tathmini ya utekelezaji wa Afua za lishe (score card) katika Mkoa wa Rukwa
……………….
Mwenyekiti wa kamati ya lishe ya mkoa ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wajumbe wa kamati hiyo kuandaa zawadi kwaajili ya Mkurugenzi wa halmashauri anaefanya vizuri na anayefanya vibaya katika kutenga shilingi 1,000 kwaajili ya kila mtoto wa...
10 years ago
Habarileo09 Jun
Wadau wa lishe wataka serikali kuongeza bajeti
WADAU wa masuala ya lishe nchini, wameiomba Serikali kuongeza kiwango cha fedha inachotenga kwenye bajeti yake kuhusu masuala ya lishe ili kuongeza nguvu zaidi katika kukabiliana na tatizo la utapiamlo nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Az1Kj4V3yiA/Xkp8velAEMI/AAAAAAAAIGw/7C2SmrLAq3cZfdRseF8xYRvH3k8KWw_lwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0095.jpg)
WADAU WA MAENDELEO WAGUSWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOKOMEZA MIMBA ZA MASHULENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Az1Kj4V3yiA/Xkp8velAEMI/AAAAAAAAIGw/7C2SmrLAq3cZfdRseF8xYRvH3k8KWw_lwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200216-WA0095.jpg)
Na Ahmed Mahmoud ArushaONGEZEKO la idadi ya wanafunzi wanaokatishwa masomo kwa kupewa mimba limeibua hofu kwa wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi, ambao baadhi yao wameshindwa kuvumilia na kuamua kuungana na serikali kusaidia kukabiliana na tatizo hilo La Mimba kwa wanafunzi wakike.
Na Miongoni wa wadau hao kutoka nje ya nchi ni pamoja na wahisani Kutoka Nchi ya Korea ambao wamejitolea kusaidia nakwa Upande wa ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cwDLp5-daKw/VP1NKNqbXkI/AAAAAAAHI1E/MrL8sZd4fiE/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
AFYA YA MAMA NA MTOTO NI AJENDA ENDELEVU - WADAU
![](http://3.bp.blogspot.com/-cwDLp5-daKw/VP1NKNqbXkI/AAAAAAAHI1E/MrL8sZd4fiE/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_FS3o7ihHzQ/VP1NJ8baPxI/AAAAAAAHI1A/UvtJIQIOgS0/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YOwyCH_MW8o/VPz4hg458VI/AAAAAAADbrE/w1AKmoZmgOU/s72-c/IMG_6972%2B-%2BCopy.jpg)
AFYA YA MAMA NA MTOTO NI AJENDA ENDELEVU-WADAU
![](http://4.bp.blogspot.com/-YOwyCH_MW8o/VPz4hg458VI/AAAAAAADbrE/w1AKmoZmgOU/s1600/IMG_6972%2B-%2BCopy.jpg)
5 years ago
MichuziRC TELACK AZITAKA HALMASHAURI NA WADAU WA AFYA KUONGEZA JITIHADA KUTOKOMEZA VIFO VYA UZAZI NA WATOTO WACHANGA