ANGONET yahamasisha lishe kutokomeza udumavu na Utapiamlo
Katibu Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo. Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay mwanachama wa shirika hilo.(Picha na Mahmoud Ahmad).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWadau wakutanishwa na Lishe Endelevu kutokomeza udumavu Rukwa
Katika kikao hicho kilichoongozwa na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule aliyemuwakilisha mkuu wa mkoa wa Rukwa alisema kuwa mbali na mpango mkakati...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OC2LcWIDpUs/VXKkG3kvNtI/AAAAAAAHcco/kerRZfBUeNg/s72-c/unnamedNN.jpg)
KATIBU MTENDAJI WA ANGONET AZUNGUMZIA MASUALA YA LISHE NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-OC2LcWIDpUs/VXKkG3kvNtI/AAAAAAAHcco/kerRZfBUeNg/s640/unnamedNN.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oFDWTGglOEA/VXKkG4Vsv6I/AAAAAAAHcck/h0h_JQOPoNw/s640/unnamedNNN.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-04rRLXVl3j8/VCJQxeofJhI/AAAAAAAABsI/N3K-WGH1ecQ/s72-c/palangyo.jpg)
Serikali yapania kutokomeza utapiamlo
![](http://3.bp.blogspot.com/-04rRLXVl3j8/VCJQxeofJhI/AAAAAAAABsI/N3K-WGH1ecQ/s1600/palangyo.jpg)
SERIKALI imesema itaweka mikakati kuhakikisha inatokomeza utapiamlo nchini na kutoa elimu ya lishe kuanzia ngazi za awali katika jamii.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Charles Pallangyo, wakati akifungua warsha ya siku tatu kujadili mikakati ya kutoa elimu juu ya lishe bora.
Pallangyo alisema Tanzania inayo idadi kubwa ya watoto na wanawake wajawazito, ambao wana utampiamlo unaosababishwa na kukosekana kwa lishe bora, hali ambayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HMgtcFM68yY/XrwmPzU-PdI/AAAAAAALqIU/I6h6I9Bau8YGuYHFmQs2fxCDSN7_KSiKwCLcBGAsYHQ/s72-c/MMPAANGA.jpg)
LISHE NA ELIMU DUNI SABABU KUBWA YA UDUMAVU IRINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HMgtcFM68yY/XrwmPzU-PdI/AAAAAAALqIU/I6h6I9Bau8YGuYHFmQs2fxCDSN7_KSiKwCLcBGAsYHQ/s640/MMPAANGA.jpg)
Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha Unga wa sembe wenye viini lishe cha AMP Super Sembe, Alfred Mpanga akizungumza kuhusu uzalishaji wa unga wenye viini lishe unaosaidia jamii kupambana na udumavu na utapiamlo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/aaa-3-1024x768.jpg)
Afisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa akizungumza na wanahabari hawapo pichani katika mahojiano maaluma kuhusu hali ya lishe mkoa wa Iringa. (Picha na denis Mlowe)
………………………………………………..
NA DENIS MLOWE,IRINGA
LISHE duni kutokana na wananchi kutokuwa na elimu ya ulaji wa vyakula vya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K5hlixdXyP4/Xl9ZhI7XN4I/AAAAAAACIHA/r8we4kXCMuEENhgAYZf7clcKHEYqq8KjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200304-WA0009.jpg)
TAMISEMI YAIJENGEA UWEZO KAMATI YA LISHE MANISPAA YA UBUNGO KWA MAFUNZO JINSI YA KUINUA KIWANGO CHA LISHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-K5hlixdXyP4/Xl9ZhI7XN4I/AAAAAAACIHA/r8we4kXCMuEENhgAYZf7clcKHEYqq8KjACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200304-WA0009.jpg)
Lengo la mafunzo...
10 years ago
Habarileo31 Jul
RC ataka itolewe elimu ya utapiamlo
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa ametaka maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Maziwa ya Mama itumike kutoa elimu itakayosaidia kupunguza tatizo la utapiamlo linalosababisha udumavu.
10 years ago
GPLPROFESA KINABO AZUNGUMZIA UTAPIAMLO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o9BjnxWReOY/VY5YiJOzz_I/AAAAAAAHka8/XVqehPQBNlA/s72-c/MDF28286-15-04-2013-16-04-36-655.jpg)
UTAPIAMLO TISHIO KWA NCHI ZINAZOENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-o9BjnxWReOY/VY5YiJOzz_I/AAAAAAAHka8/XVqehPQBNlA/s320/MDF28286-15-04-2013-16-04-36-655.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Asilimia 40 ya watoto wana udumavu