Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANGONET yahamasisha lishe kutokomeza udumavu na Utapiamlo

IMG_0422

Katibu Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu  jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto)  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo. Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay mwanachama wa shirika hilo.(Picha na Mahmoud Ahmad).

IMG_0437

Mratibu wa Angonet ,Petro Ahham akifafanua juu ya Mkakati wa Lishe wa taifa wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Wadau wakutanishwa na Lishe Endelevu kutokomeza udumavu Rukwa

Wadau mbalimbali wa maendeleo katika Mkoa wa Rukwa wamekutanishwa katika warsha ya wadau wa lishe ili kuhakikisha wanajadili na kushirikiana juu ya utekelezaji wa afua za lishe ndani ya mkoa huo na hatimae kutokomeza utapiamlo unaopelekea zaidi ya watoto 90,000 walio na umri wa chini ya miaka mitano kuwa na udumavu

Katika kikao hicho kilichoongozwa na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule aliyemuwakilisha mkuu wa mkoa wa Rukwa alisema kuwa mbali na mpango mkakati...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MTENDAJI WA ANGONET AZUNGUMZIA MASUALA YA LISHE NCHINI

Katibu Mtendaji wa Shirika lisilokua la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo.Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay Mwanachama wa Shirika hilo. Mratibu wa Angonet, Petro Ahham akifafanua juu ya Mkakati wa Lishe wa taifa wa July 2011/12 hadi Juni...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yapania kutokomeza utapiamlo

NA SOPHIA ASHERY
SERIKALI imesema itaweka mikakati kuhakikisha inatokomeza utapiamlo nchini na kutoa elimu ya lishe kuanzia ngazi za awali katika jamii.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Charles Pallangyo, wakati akifungua warsha ya siku tatu kujadili mikakati ya kutoa elimu juu ya lishe bora.
Pallangyo alisema Tanzania inayo idadi kubwa ya watoto na wanawake wajawazito, ambao wana utampiamlo unaosababishwa na kukosekana kwa lishe bora, hali ambayo...

 

5 years ago

Michuzi

LISHE NA ELIMU DUNI SABABU KUBWA YA UDUMAVU IRINGA




Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha Unga wa sembe wenye viini lishe cha AMP Super Sembe, Alfred Mpanga akizungumza kuhusu uzalishaji wa unga wenye viini lishe unaosaidia jamii kupambana na udumavu na utapiamlo
Afisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa akizungumza na wanahabari hawapo pichani katika mahojiano maaluma kuhusu hali ya lishe mkoa wa Iringa. (Picha na denis Mlowe)

………………………………………………..

NA DENIS MLOWE,IRINGA

LISHE duni kutokana na wananchi kutokuwa na elimu ya ulaji wa vyakula vya...

 

5 years ago

CCM Blog

TAMISEMI YAIJENGEA UWEZO KAMATI YA LISHE MANISPAA YA UBUNGO KWA MAFUNZO JINSI YA KUINUA KIWANGO CHA LISHE

Mafunzo hayo  yamefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya uliopo Luguruni na kuhudhuriwa na mgeni rasmi ambaye ni Kaimu Das Wilaya ya Ubungo Diana K. Nkarage. Mkufunzi alikuwa ni  Mratibu wa  lishe kitaifa kutoka OR  TAMISEMI Ndg. Mwita Waibe akisaidiwa na Afisa Lishe wa Mkoa wa Dar es salaaam Neema Kweba, Dr.Winfrida Mayilla Senior Program Manager kutoka Shirika la GAIN na Afisa Lishe wa Wilaya ya Ubungo Beatrice Joseph pamoja na  wataalam kutoka Manispaa ya Ubungo.

Lengo la mafunzo...

 

10 years ago

Habarileo

RC ataka itolewe elimu ya utapiamlo

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa ametaka maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Maziwa ya Mama itumike kutoa elimu itakayosaidia kupunguza tatizo la utapiamlo linalosababisha udumavu.

 

10 years ago

GPL

PROFESA KINABO AZUNGUMZIA UTAPIAMLO

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe, Profesa Joyce Kinabo (katikati)akizungumza jambo, kushoto niAfisa Mawasiliano wa ‘TFNC’,  Herbert Gowelle pamoja na Dkt. Joyceline Kaganda, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania. Wandishi wa habari wakichukua taarifa. RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe Afrika, Profesa Joyce...

 

10 years ago

Michuzi

UTAPIAMLO TISHIO KWA NCHI ZINAZOENDELEA

Na Chalila Kibuda,Globu Jamii IMEELEZWA kuwa asilimia 60 ya watoto wenye umri kati ya  mwaka mmoja  na miaka mitano  katika Mkoa wa Lindi  wanautapiamlo Sugu ambao ni udumavu wa kimo na viungo vya ndani vya mwili kwa kukosa lishe  bora. Ukosefu umekuwa ukiwafanya watoto wa Mkoa wa Lindi kupata magonjwa ambayo yanachangiwa na  kukosa  kinga ambazo zinatokana  na vyakula vyenye vitutubisho. Hayo aliyasema Meneja mradi wa Jukwaa la lishe Tanzania(Panita) Joseph Mugyabuso wakati akieleza hali...

 

11 years ago

Mwananchi

Asilimia 40 ya watoto wana udumavu

>Asilimia 42 ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano nchini wana udumavu huku asilimia 50 ya kaya zikiwa hazitumii  chumvi yenye madinijoto kwenye mlo wa kila siku hivyo, kuhatarisha ukuaji wa akili kwa watoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani