KATIBU MTENDAJI WA ANGONET AZUNGUMZIA MASUALA YA LISHE NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-OC2LcWIDpUs/VXKkG3kvNtI/AAAAAAAHcco/kerRZfBUeNg/s72-c/unnamedNN.jpg)
Katibu Mtendaji wa Shirika lisilokua la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo.Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay Mwanachama wa Shirika hilo.
Mratibu wa Angonet, Petro Ahham akifafanua juu ya Mkakati wa Lishe wa taifa wa July 2011/12 hadi Juni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
ANGONET yahamasisha lishe kutokomeza udumavu na Utapiamlo
Katibu Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo. Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay mwanachama wa shirika hilo.(Picha na Mahmoud Ahmad).
11 years ago
MichuziKatibu Mtendaji Mkuu wa SADC afanya ziara nchini Zimbambwe
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6-NrPsopD30/UvTX4-_RyCI/AAAAAAAFLmM/QfiYDGplsLs/s72-c/unnamed+(62).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA MASUALA YA MASUALA YA SIASA NA MAENDELEO YA JAMII WA SEKRETARIETI YA ACP
![](http://4.bp.blogspot.com/-6-NrPsopD30/UvTX4-_RyCI/AAAAAAAFLmM/QfiYDGplsLs/s1600/unnamed+(62).jpg)
9 years ago
MichuziTANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MASUALA YA LISHE NA CHAKULA
10 years ago
Dewji Blog21 May
JK mgeni rasmi mkutano wa tatu wa Shirikisho la vyama vya wataalamu wa masuala ya chakula na lishe Afrika
Rais wa Chama cha Chakula na Lishe Tanzania (FONATA) Prof. Joyce Kinabo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es Salaam, kuhusu Mkutano wa tatu wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe Afrika ambao unalenga kutoa fursa kwa wanasansi wa masuala ya lishe ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt....
9 years ago
MichuziKatibu mtendaji BAKITA amkabidhi kamusi kuu mpya ya kiswahili katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo
10 years ago
MichuziMKUTANO WA TATU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATAALAMU WA MASUALA YA CHAKULA NA LISHE AFRIKA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA.
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Majaliwa akutana na Katibu Mtendaji wa SADC
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu Mkuu Mtendaji wa SADC, Dkt. Stergomena Tax, ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 16, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).