PROFESA KINABO AZUNGUMZIA UTAPIAMLO
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe, Profesa Joyce Kinabo (katikati)akizungumza jambo, kushoto niAfisa Mawasiliano wa ‘TFNC’,  Herbert Gowelle pamoja na Dkt. Joyceline Kaganda, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania. Wandishi wa habari wakichukua taarifa. RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe Afrika, Profesa Joyce...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo509 Jul
Video: Profesa J azungumzia sababu zinazomfanya aendelee kuwepo vizuri kimuziki
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-04rRLXVl3j8/VCJQxeofJhI/AAAAAAAABsI/N3K-WGH1ecQ/s72-c/palangyo.jpg)
Serikali yapania kutokomeza utapiamlo
![](http://3.bp.blogspot.com/-04rRLXVl3j8/VCJQxeofJhI/AAAAAAAABsI/N3K-WGH1ecQ/s1600/palangyo.jpg)
SERIKALI imesema itaweka mikakati kuhakikisha inatokomeza utapiamlo nchini na kutoa elimu ya lishe kuanzia ngazi za awali katika jamii.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Charles Pallangyo, wakati akifungua warsha ya siku tatu kujadili mikakati ya kutoa elimu juu ya lishe bora.
Pallangyo alisema Tanzania inayo idadi kubwa ya watoto na wanawake wajawazito, ambao wana utampiamlo unaosababishwa na kukosekana kwa lishe bora, hali ambayo...
10 years ago
Habarileo31 Jul
RC ataka itolewe elimu ya utapiamlo
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa ametaka maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Maziwa ya Mama itumike kutoa elimu itakayosaidia kupunguza tatizo la utapiamlo linalosababisha udumavu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o9BjnxWReOY/VY5YiJOzz_I/AAAAAAAHka8/XVqehPQBNlA/s72-c/MDF28286-15-04-2013-16-04-36-655.jpg)
UTAPIAMLO TISHIO KWA NCHI ZINAZOENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-o9BjnxWReOY/VY5YiJOzz_I/AAAAAAAHka8/XVqehPQBNlA/s320/MDF28286-15-04-2013-16-04-36-655.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
ANGONET yahamasisha lishe kutokomeza udumavu na Utapiamlo
Katibu Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo. Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay mwanachama wa shirika hilo.(Picha na Mahmoud Ahmad).
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Utapiamlo; tatizo sugu linalotesa wengi Kilindi
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Profesa Bagadanshwa: Profesa aliyeshinda vikwazo vya kuwa mlemavu wa kutoona
10 years ago
Habarileo06 Oct
Mkoa tajiri kwa chakula taabani kwa utapiamlo
LICHA ya kuwa miongoni mwa mikoa sita nchini inayoongoza kulima ziada kubwa ya chakula hususani mahindi na mpunga, bado Mkoa wa Katavi una kiwango cha juu cha watoto chini ya miaka mitano wenye utapiamlo mkali na unaowasababishia udumavu.