Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utapiamlo; tatizo sugu linalotesa wengi Kilindi

Kwenye duka mojawapo lililopo katika eneo la Mgera wilayani Kilindi mkoani Tanga, nakutana na mama mwenye mawazo mengi, mkononi amewapakata watoto wawili ambao wanalia muda wote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kukosa Choo: Tatizo sugu linalowatesa wengi

>Waswahili wanao usemi maarufu kuwa, raha ya nyumba ni choo.Kwa hakika, hawakukosea kwani chakula chochote kinapoliwa lazima kitumike mwilini na mabaki yake kutolewa kwa njia ya haja kubwa.

 

10 years ago

GPL

FOLENI JIJINI DAR, TATIZO SUGU!

Magari yakiwa kwenye foleni katika Barabara ya Morogoro eneo la kituo cha daladala cha Rombo-Ubungo, jijini Dar. Malori yakiwa katika foleni eneo hilo. FOLENI katika Jiji la Dar es Salaam bado ni tatizo sugu kufuatia barabara nyingi za jiji hilo mda mwingi kuonekana zikiwa na foleni kubwa. Leo kamera yetu imenasa magari yakiwa katika foleni kubwa eneo la Kituo cha Daladala cha Rombo-Ubungo, jijini Dar ambapo magari yalikuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa maadili tatizo sugu kwa vijana

>Maadili ni hatua muhimu ambayo humtambulisha binadamu ndani ya jamii yake. Katika hali ya kawaida maadili hujitokeza katika matendo, kwa vile ndicho kielelezo sahihi cha kupima maadili ya jamii fulani.

 

10 years ago

Habarileo

‘Vitendo vya ukeketaji bado tatizo sugu’

VITENDO vya ukeketaji bado ni tatizo sugu, kutokana na baadhi ya watoa huduma za afya kushiriki kusaidia jambo hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

NesiWangu: JE WAJUA ANEMIA NI TATIZO SUGU KATIKA JAMII.

NesiWangu: JE WAJUA ANEMIA NI TATIZO SUGU KATIKA JAMII.: Ripoti nyingi za wanasayansi zinaonyesha kwamba tatizo la upungufu wa damu mwilini ni tatizo linalosumbuwa zaidi jamii ya watu weus...

 

10 years ago

Vijimambo

RUSHWA NI TATIZO SUGU KATIKA NCHI YETU, NANI ATAWEZA KUIONDOA?

MWANDISHI Eric Shigongo
KATIKA kumuenzi Mungu, kila mtu ambaye leo afya yake ni nzuri hana budi kumshukuru na kumtukuza huku akimuomba awaponye wale wote walio katika magonjwa.

Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi, baadhi ya matawi wanachama wake wamelalamikia rushwa kwamba waliwapigia kura watu waliokuwa wanapenda kuwaongoza lakini kura zao zikachakachuliwa.

Nilisimuliwa kuhusu tawi moja eti waliochaguliwa waliiba kura na matokeo yakatajwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC

unnamed

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi  katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.

Na MatukiodaimaBlog, Ludewa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...

 

11 years ago

GPL

UPWEKE, TATIZO LA KIHISIA LINALOWATESA WENGI!

KUTAMBUA umuhimu wa kujifunza ni jambo kubwa lenye thamani katika maisha ya binadamu. Anayejifunza kila siku huongeza maarifa. Hatakuwa vilevile! Huo ndiyo ukweli. Hapa kwenye Love & Life ndiyo sehemu sahihi zaidi ya kujifunza kuhusu maisha ya ndoa, uhusiano kwa jumla na mengine yanayofanana na hayo. Ndoa ni fumbo. Kabla ya kuingia, lazima upate muda wa kujifunza mambo kadhaa ili yakusaidie. Ukiingia ukiwa mgeni wa kila kitu,...

 

11 years ago

GPL

UPWEKE, TATIZO LA KIHISIA LINALOWATESA WENGI! - 2

KUJUA unayopaswa kufanya ni vizuri maana kutakuweka mbali na makosa. Ndiyo ukweli wenyewe rafiki zangu wapendwa. Ni mada iliyoanza wiki iliyopita ikizungumzia upweke. Wiki iliyopita nilieleza kuwa, ili kujiweka mbali na upweke ni pamoja na kujijali kwa maana ya usafi na mambo mengine. Siyo lazima wakati wote uwe safi kwa kuwa inawezekana wengine wanafanya kazi ngumu ambazo mazingira yake lazima anakuwa mchafu, lakini baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani