Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UPWEKE, TATIZO LA KIHISIA LINALOWATESA WENGI!

KUTAMBUA umuhimu wa kujifunza ni jambo kubwa lenye thamani katika maisha ya binadamu. Anayejifunza kila siku huongeza maarifa. Hatakuwa vilevile! Huo ndiyo ukweli. Hapa kwenye Love & Life ndiyo sehemu sahihi zaidi ya kujifunza kuhusu maisha ya ndoa, uhusiano kwa jumla na mengine yanayofanana na hayo. Ndoa ni fumbo. Kabla ya kuingia, lazima upate muda wa kujifunza mambo kadhaa ili yakusaidie. Ukiingia ukiwa mgeni wa kila kitu,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UPWEKE, TATIZO LA KIHISIA LINALOWATESA WENGI! - 2

KUJUA unayopaswa kufanya ni vizuri maana kutakuweka mbali na makosa. Ndiyo ukweli wenyewe rafiki zangu wapendwa. Ni mada iliyoanza wiki iliyopita ikizungumzia upweke. Wiki iliyopita nilieleza kuwa, ili kujiweka mbali na upweke ni pamoja na kujijali kwa maana ya usafi na mambo mengine. Siyo lazima wakati wote uwe safi kwa kuwa inawezekana wengine wanafanya kazi ngumu ambazo mazingira yake lazima anakuwa mchafu, lakini baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kukosa Choo: Tatizo sugu linalowatesa wengi

>Waswahili wanao usemi maarufu kuwa, raha ya nyumba ni choo.Kwa hakika, hawakukosea kwani chakula chochote kinapoliwa lazima kitumike mwilini na mabaki yake kutolewa kwa njia ya haja kubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Utapiamlo; tatizo sugu linalotesa wengi Kilindi

Kwenye duka mojawapo lililopo katika eneo la Mgera wilayani Kilindi mkoani Tanga, nakutana na mama mwenye mawazo mengi, mkononi amewapakata watoto wawili ambao wanalia muda wote.

 

11 years ago

Mwananchi

Maumivu ya mgongo; Tatizo kubwa linalosumbua wengi nchini

>Jiulize, wewe ambaye umelitumikia taifa lako kwa takriban miongo mitatu huku uwajibakaji wako kazini ukiwa hauna shaka na wenye tija katika eneo unalofanyia kazi hali itakuwa vipi baada ya kustaafu.

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania wengi hawana uelewa kuhusu tatizo la usonji - Mama Salma Kikwete

Na Anna Nkinda – Maelezo
Watanzania wengi hawana uelewa  wa tatizo la usonji (Autism)  kwa watoto hivyo basi uhamasishaji na utoaji wa elimu kwa jamii unahitajika  ili watu watambue  tatizo hilo na kuweza kuwasaidia watoto hao.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma kikwete wakati akiongea na Prof. Andy Shih ambaye ni Makamu wa Rais Mwandamizi wa Mambo ya kisayansi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Autism Speaks katika ofisi za Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) zilizopo jijini Dar es...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu

Wongonjwa wengi ambao wamekuwa na tatizo la damu kuganda katika mishipa wamekuwa wakitumia dawa za kujaribu kuyeyusha damu hiyo na kufanya tatizo hilo lisilo la kawaida kuwa la kipekee.

 

10 years ago

GPL

UNAMUANDALIA FUMANIZI UMPENDAYE, UMEJIANDAA KIHISIA? -2

Uhali gani msomaji wangu? Ni matumaini yangu kwamba unaendelea vyema na pilikapilika za kuumaliza mwaka 2014 na kuukaribisha 2015! Tuzidi kumuomba Mungu atuvushe salama na atuepushe na majanga ya aina mbalimbali yanayoweza kutokea katika muda huu mfupi uliosalia.
Wiki iliyopita tulianza kuijadili mada ya kama kuna umuhimu wowote wa kumuandalia mwenzi wako fumanizi endapo ukihisi au ukigundua kuwa anakusaliti kwa kutoka nje ya...

 

10 years ago

GPL

UNAMUANDALIA FUMANIZI UMPENDAYE, UMEJIANDAA KIHISIA?

Ni Jumatatu nyingine tunapokutana katika uwanja wetu huu mzuri, tukijuzana na kuelimishana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, nakukaribisha tena tujadiliane na kuelimishana mambo mbalimbali yanayotuhusu. Mada ya leo ni kama inavyojieleza hapo juu. Upo kwenye uhusiano, unahisi kwamba mwenzi wako anakusaliti na kuna viashiria mbalimbali kwamba mwenzi wako anatoka...

 

10 years ago

GPL

CATHY ATESWA NA UPWEKE!

IMELDA MTEMA MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo,  Sabrina Rupia ‘Cathy’ amesema kuwa kwa sasa yupo katika kipindi kigumu cha upweke kutokana na mume wake kuhamishiwa Kisiwani Unguja kikazi. MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo,  Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema kuwa hakuna kitu kigumu na kinachomtesa kama kutenganishwa na mtu ambaye anampenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani