Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maumivu ya mgongo; Tatizo kubwa linalosumbua wengi nchini

>Jiulize, wewe ambaye umelitumikia taifa lako kwa takriban miongo mitatu huku uwajibakaji wako kazini ukiwa hauna shaka na wenye tija katika eneo unalofanyia kazi hali itakuwa vipi baada ya kustaafu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAUMIVU YA MGONGO NA VICHOMI

Tatizo hili la maumivu ya mgongo na vichomi huwapata watu wengi wa rika tofauti, wakubwa kwa wadogo, wanaume na wanawake.Tatizo huweza kuanza taratibu au kwa ghafla kutegemea na chanzo.Vyanzo vya tatizo hili ni vingi na maumivu yanapotokea humkosesha mtu raha na kujihisi mnyonge.Maumivu husumbua sana na kumfanya mgonjwa awe anahudumiwa hospitali mara kwa mara. CHANZO CHA TATIZO
Maumivu ya mgongo huweza kusababishwa na tatizo...

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU YA SHINGO NA MGONGO

Tatizo hili huwasumbua baadhi ya watu wake kwa waume na zaidi ni watu wazima. Tatizo huwapata zaidi watu wa umri wa kati, yaani miaka 35 hadi 45 na huwa makali zaidi katika umri zaidi ya miaka 45. Kazi ambayo mtu anaifanya huchangia kwa kiasi kikubwa hali hii ya maumivu. Zipo sababu mbalimbali zinazochangia hali hii ya maumivu ambazo tutakuja kuziona. CHANZO CHA MAUMIVU Maumivu ya shingo na mgongo hutokana na matatizo kwenye...

 

10 years ago

Habarileo

Tatizo la watoto kuungua bado kubwa nchini

TATIZO la watoto walio chini ya umri wa miaka mitano kuungua, limetajwa kuwa kubwa, kutokana na kile kilichoelezwa ni uzembe wa ama wazazi au walezi.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabili maumivu makali ya uti wa mgongo

Wiki iliyopita tuliona jinsi tatizo la mgongo linavyosumbua watu wengi dunia. Tuliona pia vyanzo vyake na jinsi upungufu wa viinilishe mwilini na madhara ya kazi yanavyochangia kutokea kwa tatizo hili.

 

10 years ago

GPL

“NINA TATIZO LA MGONGO”

Stori: Imelda Mtema na Denis Mtima/UWAZI
INASIKITISHA! Mtoto Seif Sudi Seif, 15, (pichani), wa Shule ya Msingi Hedenzeri, Tanga analia kwa uchungu akitaka kusaidiwa ili aweze kutimiza ndoto zake kutokana na tatizo lake la kushindwa kutembea kutokana na kuumwa mgongo. Mtoto Seif Sudi Seif akishindwa kutembea kutokana na tatizo la mgongo. Mama wa mtoto huyo, Fatuma Hemed aliliambia gazeti hili akiwa nyumbani kwa shemeji yake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wataalamu maradhi ya mgongo kutua nchini

WATAALAMU wa maradhi ya mgongo, magoti na nyonga kutoka India wanatarajiwa kuwasili nchini wiki hii kwa lengo la kuwachunguza watu wenye maradhi hayo. Taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Hospitali ya...

 

11 years ago

GPL

UPWEKE, TATIZO LA KIHISIA LINALOWATESA WENGI! - 2

KUJUA unayopaswa kufanya ni vizuri maana kutakuweka mbali na makosa. Ndiyo ukweli wenyewe rafiki zangu wapendwa. Ni mada iliyoanza wiki iliyopita ikizungumzia upweke. Wiki iliyopita nilieleza kuwa, ili kujiweka mbali na upweke ni pamoja na kujijali kwa maana ya usafi na mambo mengine. Siyo lazima wakati wote uwe safi kwa kuwa inawezekana wengine wanafanya kazi ngumu ambazo mazingira yake lazima anakuwa mchafu, lakini baada ya...

 

11 years ago

GPL

UPWEKE, TATIZO LA KIHISIA LINALOWATESA WENGI!

KUTAMBUA umuhimu wa kujifunza ni jambo kubwa lenye thamani katika maisha ya binadamu. Anayejifunza kila siku huongeza maarifa. Hatakuwa vilevile! Huo ndiyo ukweli. Hapa kwenye Love & Life ndiyo sehemu sahihi zaidi ya kujifunza kuhusu maisha ya ndoa, uhusiano kwa jumla na mengine yanayofanana na hayo. Ndoa ni fumbo. Kabla ya kuingia, lazima upate muda wa kujifunza mambo kadhaa ili yakusaidie. Ukiingia ukiwa mgeni wa kila kitu,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tatizo la chakula ni kubwa Somalia

Umoja wa Mataifa umeelezea viwago vya utapiamlo na hali ya usalama wa chakula nchini Somalia kama vilivyo vibaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani