Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataalamu maradhi ya mgongo kutua nchini

WATAALAMU wa maradhi ya mgongo, magoti na nyonga kutoka India wanatarajiwa kuwasili nchini wiki hii kwa lengo la kuwachunguza watu wenye maradhi hayo. Taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Hospitali ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UJUMBE WA WATAALAMU MABINGWA WA MAGONJWA YA KICHWA NA UTI WA MGONGO.


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Kiongozi wa Watalaamu Mabingwa wa Magonjwa ya Kichwa, Uti wa Mgongo na Matibabu ya Maumivu kutoka nchi za Afrika Mashariki Dk.Mahmoud Qureshi pia Makamu wa Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Mafunzo Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu alipofika Ikulu Mjini Zanzibar na ujumbe aliofuatana nao jana. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Ujumbe wa...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yaombwa kutoa vifaa vya upimaji maradhi Wataalamu Wa Tiba Asili

 

Wataalamu wa tiba asili wameiomba Serikali kutoa usaidizi wa vifaa vya upimaji wa maradhi mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha kutoa tiba kwa kiwango kinachokubalika.

Baadhi ya hospitali nchini zinadaiwa kuwa zimekuwa zikitoa masharti magumu kwa waganga wa tiba asili kupata vipimo kwa wagonjwa wao hali inayowafanya kujiingiza katika upigaji ramli chonganishi.

 

Wilaya ya Chato mkoani Geita iliyopo Magharibi mwa Tanzania baada ya kumtoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,umaarufu wake...

 

11 years ago

Mwananchi

Maumivu ya mgongo; Tatizo kubwa linalosumbua wengi nchini

>Jiulize, wewe ambaye umelitumikia taifa lako kwa takriban miongo mitatu huku uwajibakaji wako kazini ukiwa hauna shaka na wenye tija katika eneo unalofanyia kazi hali itakuwa vipi baada ya kustaafu.

 

9 years ago

Michuzi

Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital

Dr Yash Gulati, Senior Spine and Joint Replacement Surgeon at Apollo Hospitals; DelhiNa Mwandishi Wetu,
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital

Dr Yash Gulati, Senior Spine and Joint Replacement Surgeon at Apollo Hospitals; Delhi.Na Mwandishi Wetu,

Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.

Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...

 

10 years ago

Mwananchi

Barcelona kutua nchini Desemba

Nyota wa zamani wa Barcelona, Patrick Kluivert, Rivaldo na Deco wanatarajiwa kukiongoza kikosi cha wachezaji wa zamani wa Barcelona kwa ajili ya kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya kikosi cha wakongwe wa soka nchini mwezi Desemba.

 

10 years ago

Mtanzania

Patrick Phiri kutua leo nchini

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mpya wa Simba, Patrick Phiri, anatarajia kutua leo nchini na kukabidhiwa mikoba ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic, aliyefungashiwa virago vyake mwishoni mwa wiki iliyopita.

Phiri anatarajia kuwasili majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya Shirika la Ndege la Fastjet akitokea nchini kwao Zambia.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, alithibitisha ujio wa kocha huyo leo,...

 

10 years ago

Michuzi

Wataalamu wa kujitolea wakikaribishwa nchini

 Mtaalamu wa kujitolea kutoka nchini Japani Bw. Shota Yanagisawa (aliyesimama) akijitambulisha kwa Kaimu Katibu Mkuu - Utumishi Bw. HAB Mkwizu katika hafla fupi ya kukaribishwa nchini iliyofanyika Utumishi mapema leo.

 Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kushoto) akiwakaribisha wataalamu wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kuja kujitambulisha Utumishi mapema leo.

Wataalamu wa kujitolea kutoka nchini Japani wakishukuru baada ya kukaribishwa mapema leo.

 

9 years ago

Habarileo

Wakali Sauti Sol kutua nchini leo

WANAMUZIKI wa kimataifa watakaoshiriki katika tamasha kubwa la muziki la Party in the Park litakalofanyika kesho Jumamosi jijini Dar es Salaam wanawasili nchini leo tayari kwa onesho hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani