Wataalamu maradhi ya mgongo kutua nchini
WATAALAMU wa maradhi ya mgongo, magoti na nyonga kutoka India wanatarajiwa kuwasili nchini wiki hii kwa lengo la kuwachunguza watu wenye maradhi hayo. Taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Hospitali ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UOq7_V15e0I/VT-CbTFzolI/AAAAAAAHTys/B1hlxOsXwtw/s72-c/IMG_4285.jpg)
UJUMBE WA WATAALAMU MABINGWA WA MAGONJWA YA KICHWA NA UTI WA MGONGO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-UOq7_V15e0I/VT-CbTFzolI/AAAAAAAHTys/B1hlxOsXwtw/s1600/IMG_4285.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rw0LW7XnLvA/VT-CbLwVppI/AAAAAAAHTyo/CMBpM-HkBXQ/s1600/IMG_4362.jpg)
9 years ago
StarTV01 Dec
Serikali yaombwa kutoa vifaa vya upimaji maradhi Wataalamu Wa Tiba Asili
Wataalamu wa tiba asili wameiomba Serikali kutoa usaidizi wa vifaa vya upimaji wa maradhi mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha kutoa tiba kwa kiwango kinachokubalika.
Baadhi ya hospitali nchini zinadaiwa kuwa zimekuwa zikitoa masharti magumu kwa waganga wa tiba asili kupata vipimo kwa wagonjwa wao hali inayowafanya kujiingiza katika upigaji ramli chonganishi.
Wilaya ya Chato mkoani Geita iliyopo Magharibi mwa Tanzania baada ya kumtoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,umaarufu wake...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Maumivu ya mgongo; Tatizo kubwa linalosumbua wengi nchini
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4QW4oBbZUs/VoJh2eNL2vI/AAAAAAAAIfA/BmWbFFzxq8U/s1600/Dr%2B-Yash-Gulati.jpg)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.
Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Barcelona kutua nchini Desemba
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Patrick Phiri kutua leo nchini
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mpya wa Simba, Patrick Phiri, anatarajia kutua leo nchini na kukabidhiwa mikoba ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic, aliyefungashiwa virago vyake mwishoni mwa wiki iliyopita.
Phiri anatarajia kuwasili majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya Shirika la Ndege la Fastjet akitokea nchini kwao Zambia.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, alithibitisha ujio wa kocha huyo leo,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jnTUhek-dKc/VUHwtzzmo2I/AAAAAAAHUPI/y0_g9SVAztw/s72-c/unnamed.jpg)
Wataalamu wa kujitolea wakikaribishwa nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-jnTUhek-dKc/VUHwtzzmo2I/AAAAAAAHUPI/y0_g9SVAztw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ddGjRU1Jsa4/VUHwyf7KxDI/AAAAAAAHUPQ/4UlhxtpFZHQ/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-I2zZWVV5VvY/VUHw2WWf_vI/AAAAAAAHUPY/9d6qc_2Cx1Q/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
Habarileo14 Aug
Wakali Sauti Sol kutua nchini leo
WANAMUZIKI wa kimataifa watakaoshiriki katika tamasha kubwa la muziki la Party in the Park litakalofanyika kesho Jumamosi jijini Dar es Salaam wanawasili nchini leo tayari kwa onesho hilo.