MAUMIVU YA SHINGO NA MGONGO
![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlQjj3tdWieTO*kYaOI5NKPmGHXoekhRDGII0XGROHxOp-rqZuym3cL3O7XuULHlDBN-qfRSzRdgVscKrdF5o6e/backi.jpg?width=650)
Tatizo hili huwasumbua baadhi ya watu wake kwa waume na zaidi ni watu wazima. Tatizo huwapata zaidi watu wa umri wa kati, yaani miaka 35 hadi 45 na huwa makali zaidi katika umri zaidi ya miaka 45. Kazi ambayo mtu anaifanya huchangia kwa kiasi kikubwa hali hii ya maumivu. Zipo sababu mbalimbali zinazochangia hali hii ya maumivu ambazo tutakuja kuziona. CHANZO CHA MAUMIVU Maumivu ya shingo na mgongo hutokana na matatizo kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadVm-ix258-lGxPIUzTHo3N22wXNQb6qwUn6bcLbvULfpJmqGxIyN8s9JtyGbBp1dbNC5TSG0acmNcRTeEQ7Yw6/kiuno2.jpg?width=650)
MAUMIVU YA MGONGO NA VICHOMI
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Namna ya kukabili maumivu makali ya uti wa mgongo
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Maumivu ya mgongo; Tatizo kubwa linalosumbua wengi nchini
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4QW4oBbZUs/VoJh2eNL2vI/AAAAAAAAIfA/BmWbFFzxq8U/s1600/Dr%2B-Yash-Gulati.jpg)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.
Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Ugonjwa wa Uti wa mgongo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KhDjiu-wQ6bUSBICJSsHvqvPFiOpFDjbY0tnDjt3yEjGaXa47PejWljyaOIKQdMPiW65YZ3yGEXZRf0CF*RYLv/msanii.jpg?width=650)
MSANII KAOLE AVUNJIKA MGONGO
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Madaktari bingwa wa mgongo waja
MADAKTARI bingwa wa viungo na mgongo kutoka India, wanatarajia kuwasili nchini wiki hii kwa ajili ya kuwachunguza na kutibu watu wenye maradhi hayo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na hospitali...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Malinzi maji ya shingo
BODI ya Ligi Kuu Tanzania kwa kushirikiana na Klabu 14 za ligi hiyo, zimetishia kusaka theluthi mbili ya saini za Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),...