Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Buhari awaonya viongozi dhidi ya ufisadi

Rais mpya nchini Nigeria Muhammadu Buhari amewaambia magavana kuwa siku za matumizi mabaya ya fedha zimekwsha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Magufuli awaonya maafisa wanaoendeleza ufisadi

Wakati akampeni za kuelekea uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika octoba 25 mwaka huu  Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli ametoa onyo kali kwa maafisa walio katika taasisi za serikali  na halmashauri mbalimbali nchini wanaoendeleza na kufumbia,macho maswala ya,Rushwa na vitendo vya ufisadi na kuwa kikwa kwa maendeleo.

Magufuli ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM ambaye pia ni waziri wa Ujenzi  ametoa kauli hiyo wakati akiwahutubia...

 

10 years ago

Mtanzania

Kikwete awaonya viongozi wa dini

kikweteNa Kadama Malunde, Shinyanga

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kutoruhusu siasa kufanyika kwenye makanisa yao kwani hali hiyo italifanya taifa liingie kwenye machafuko.

Aliyasema hayo jana wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu mpya wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Liberatus Sangu, iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mama Mwenye Huruma la Ngokolo mjini hapa na kuongozwa na Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo.

Rais Kikwete...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama awaonya viongozi wa Afrika

Rais wa Marekani Barrack Obama,amewasuta viongozi wa Afrika ambao wanaendelea kusalia madarakani hata baada ya katiba kutowaruhusu kuendelea kuwania tena wadhfa wa urais.

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto awaonya viongozi ACT-Wazalendo

Zitto Kabwe-ACT Leader3Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameionya sekretarieti ya uongozi wa chama hicho na kuitaka kuishi kwa maadili kwa kuzingatia katiba ya chama na kuitekeleza kwa vitendo.
Amesema uadilifu umekuwa ni changamoto kubwa katika nchi hali inayowafanya watanzania washindwe kuaminiana katika masuala mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi alipofungua mkutano wa kwanza wa sekretarieti ya uongozi wa chama hicho.
Alisema iwapo watashindwa kuishi...

 

11 years ago

Habarileo

Balozi Seif awaonya viongozi Jumuiya za CCM

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Balozi Seif Ali Iddi, amesema Kamati Ndogo ya Maadili ya chama hicho, itawang’oa viongozi wote wa jumuiya za chama hicho, wanaoshirikiana na walioanza kampeni za urais kabla ya muda.

 

10 years ago

Habarileo

Mchungaji wa EAGT awaonya wanaopigia kampeni viongozi

MCHUNGAJI Bosco Maliga wa Kanisa la EAGT Majohe mji mpya Dar es Salam amewataka Watanzania kuyaogopa kama ukoma makundi ya watu wanaowapigia kampeni watu wengine ili wachaguliwe kuwa viongozi.

 

9 years ago

Bongo5

Dully Sykes awaonya watu kuacha kukashifu viongozi wa siasa

Dully Sykes amedai kuwa hafungamani na upande wowote wa chama cha siasa na amewataka watu kuacha kukashifu viongozi wanaogombea nafasi za uongozi. Akizungumza na 255 ya XXL ndani ya Clouds FM, Dully aliwakumbusha watu kujua kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi. “Mimi ni binadamu kama binadamu wengine na mimi ni mwananchi kama wananchi wengine, lakini […]

 

9 years ago

Raia Mwema

Vita dhidi ya ufisadi itafanikiwa tukiuchukia

VITA inayopiganwa sasa dhidi ya ufisadi ni muhimu sana na imeleta tija kubwa.

Njonjo Mfaume

 

11 years ago

BBCSwahili

Madai ya ufisadi dhidi ya FIFA yatolewa

Madai mapya ya ufisadi yametolewa dhidi ya shirikisho la soka duniani FIFA kuhusiana na maandalizi ya Qatar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani