Magufuli asaka kura Dar
– Kutumia siku tatu ndani ya majimbo 9
NA BAKARI KIMWANGA, GEITA
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, leo ataanza mikutano ya kampeni jijini Dar es Salaam.
Dk. Magufuli atawasili jijini humo baada ya kukamilisha mikutano ya kampeni ya kuomba kuchaguliwa katika nafasi hiyo kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Akiwa jijini Dar es Salaam, atafanya mikutano katika majimbo yote ambayo alikuwa hajahutubia, huku akiwanadi
wagombea ubunge wa majimbo hayo.
Kwa mujibu wa ratiba...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Magufuli asaka vinara ufisadi wa mabilioni
*Awataka waliohusika na kashfa ya Sh trilioni 1.3 watoe ushirikiano
* aliyekuwa bosi TRA, Harry Kitilya, mtoto wa Waziri wahusushwa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Mahakama ya London, Uingereza kubaini ufisadi wa Sh trilioni 1.3, zilizotokana na mkopo uliotolewa na benki ya Standard ya Uingereza kwa Serikali ya Tanzania, Ikulu imeanza kusaka watu waliosababisha hasara hiyo.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,...
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-cEUh78h2AAc/VjOfSHiZipI/AAAAAAAAqxc/cTQ9lfJGBp4/s72-c/45.jpg)
MAGUFULI AWASHUKURU WAPIGA KURA WALIOMPA USHINDI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-cEUh78h2AAc/VjOfSHiZipI/AAAAAAAAqxc/cTQ9lfJGBp4/s640/45.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gTvVro8DhNI/VjOfSe-IZWI/AAAAAAAAqxk/zf9QwI6eiCY/s640/46.jpg)
9 years ago
Michuzi01 Oct
MWIGULU NCHEMBA ASAKA KURA ZA CCM KATA KWA KATA,ATUA HAI,VUNJO,SAME,ARUMERU NA MWANGA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oLbUAKg11Mxw5QmOzAa5cfR8Peiqv0TlTDSQHRHdYi8-3NxO6rgrEVWnWUeq72W4uyn-TSuPt2FaPadIDDf4ZoOOAoQezKRMb722P-MzA7GxqMQXRbrMDWJOIxsIZbUmr121N5AO7iVdb6cNl-YcjtqH6QRBftjlwYlQNjHG6Ej9lvl_ucM7trhLaSnf4y9jOPAIGTImmPDyNHksRodTsB0DCfUcyXCjLVCFLERWSFgTJNtc=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12074941_430666830468884_1065071166966987949_n.jpg?oh=d1a5194cced3cf4f470a26bbf6b6d7e5&oe=56865D7A)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/HnYDNdlPbdh9fkWFTH4QXdNMYeZYrj_k3prWw_sfkmsDoKGQOX5DkEjTS-lpvaO4q43pTMi9kG9xZZcWm5ho96pTRbai3bEgoFMpEHDKheZPZlRP-iEVTHd5aQdZA0pbXg8RfT-QMBzbnVYL-5GzSiJ-JyIewNKuFblpjecsLsREPFa8a3xt1vB6TrQlTmyxSrzx1Q4UkngeuJQTSPVDjI5fsreIf1SWbmiczsbvXzeUDb9p=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtl1/v/t1.0-9/12079494_430666913802209_1657029922218945291_n.jpg?oh=59931af650df0e317cbe805b39ce78c7&oe=56A89393)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/i-lxg8w7ku3_N1PQzvXvm1MtnFVZiie4ZawYDJL8hzLCunn2lOx_l8cSQILk50fXPFmey7lHvyvQEe1yzXd_JhWbqs9RQaZiWDMNxB-AREOPeXG8GEcUaQya-kp7HoxG64SM0Ofd6m9RcFa4b3F3TayurLgRTtnFMWLh9eEwbaRjNw6-78v6ADl1LIrPlksKZDL70Pk7qVdK2Ot6vW93aPaD4E43odM0WQuxsYn9bSbODQXg=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12032005_430666937135540_6300423914878819122_n.jpg?oh=629325b74240c3f14f0d644da0e75acf&oe=569BFFB0)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/0dLvrYA7fzngD86OOH7zwDH3UIPjR4iY6oiX4pJpR5m2ONiiZD72v5vmEtvR_wVLZ3KzbOHfdRui_vlkaB5uYz79P1wV7ZRMrIrapaSNk3z1Uj2WBCdQJwnWBdRN-Xgy2CHkFpKIOAtpPnocb0wvwS0_U6SqEcE47fPcPaxGQ3oFjqqjE8oCBc-_uFSG34TUkcyg1M_5SV1P8agyOmLqjPcW54fKMgMv0pRbOrIBB7T-vgzc=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/12074747_430666977135536_2269769044830935670_n.jpg?oh=0fbdef5ebbd62641a058ca0b87224167&oe=568EA701)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/KS8-CMVwwSepJrYGuyUtSKoJqKGeWKMnO3C367SzG-fFI99yULzPFi5AkzQs27iqZ8FWZKPF_TXNbTUPTLFbNW3nas_xWHhPF5zIvXk5zImv4g-o_ta9_WKFdctGBi-rUiCGnxJ2uU6PgILvV4GFF5X1-Cyw4TS65hgMFppOUGy-A8VTY73WDjsHsl0WmKoUsYmge7P-9vGmqp4Q-0CmkKNA4olitQuLEGZMycZqcZrdIMnxzKiwiKxB2N0bF9jHeKyuN3eBG4jHHGNqxe-mkqFv7oFQKaVgjdUJN3y-_K88qJV3JNiNozl4rw9l=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/12043043_430667017135532_7168186954452293774_n.jpg?oh=cbd1eaf3b92f501cdbddf6d8fe5f7aef&oe=5699ED2C&__gda__=1453448435_a09672fd5c4d20ee1b6f75621f6ab679)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-C4tpLo1Ef3c/Vet5MQxDmJI/AAAAAAAD6M4/0tVnSLatZis/s72-c/6568c3319ebefa401cdad832cce40a61.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Dk. Magufuli apiga kura jimboni kwake Chato
![](http://4.bp.blogspot.com/-QePwiRoVCjU/ViyXms9RYWI/AAAAAAABn-M/ZWFcLHgc4rs/s640/MAGUFULI.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli akipiga kura yake jimboni kwake Chato mapema leo asubuhi Oktoba 25, 2015.(PICHA NA MWANDISHI WETU).
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Magufuli aomba kura za ‘people’s’ alete mabadiliko
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Dk. John Magufuli aomba kura kupitia simu
CHAMA cha Mapinduzi CCM kimezidi kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Oktoba 25 baada ya kubuni mkakati mpya wa ushindi ambapo mgombea wa nafasi ya urais Dk. John Magufuli (pichani) kuwapigia simu wananchi akiomba wampigie kura.
Ujumbe huo unaokwenda kwa watumiaji wa simu za mitandao mbalimbali humfikia mmiliki wa simu kupitia namba +255622333333 na mara baada ya simu hiyo kupokelewa husikika sauti ya Dk. Magufuli...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-EwL7jziO8fg/Viyd3d3IhzI/AAAAAAAAqnY/cyU8TC3WQcs/s72-c/3.jpg)
MAGUFULI APIGA KURA JIMBONI KWAKE CHATO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EwL7jziO8fg/Viyd3d3IhzI/AAAAAAAAqnY/cyU8TC3WQcs/s640/3.jpg)
Dk. Magufuli alipiga kura yake asubuhi ya saa 4 na dakika 32.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1V1ti6NGioQ/Viyd3jJFjmI/AAAAAAAAqng/pVewribUz3Y/s640/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xmh_9lInvn0/Viyd4VcpVqI/AAAAAAAAqns/YwZ18ebC7sE/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YV1DyCDKpww/Viyd4yFUxuI/AAAAAAAAqnw/a4TGyWZd98k/s640/8.jpg)
9 years ago
Vijimambo07 Sep
MAGUFULI AOMBA KURA ZA PPOZ ALETE MABADILIKO
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/317.jpg)
Morogoro. Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema anataka kuwa rais wa Watanzania wote na kuwataka wafuasi wa kaulimbiu ya peoples inayoitikiwa power (nguvu ya umma), akimaanisha Chadema, wampe kura ili alete mabadiliko.
Katika kampeni zake, Chadema, kilichoungana na...