Dk. John Magufuli aomba kura kupitia simu
CHAMA cha Mapinduzi CCM kimezidi kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Oktoba 25 baada ya kubuni mkakati mpya wa ushindi ambapo mgombea wa nafasi ya urais Dk. John Magufuli (pichani) kuwapigia simu wananchi akiomba wampigie kura.
Ujumbe huo unaokwenda kwa watumiaji wa simu za mitandao mbalimbali humfikia mmiliki wa simu kupitia namba +255622333333 na mara baada ya simu hiyo kupokelewa husikika sauti ya Dk. Magufuli...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZKu-FRHQY24/ViyX9cgVitI/AAAAAAAICrk/guZeTrINfiA/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Joseph Magufuli apiga kura chato
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZKu-FRHQY24/ViyX9cgVitI/AAAAAAAICrk/guZeTrINfiA/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OFgHg5NzQtY/ViyX9ZrQ2iI/AAAAAAAICrg/NzIT65s9c6Y/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QePwiRoVCjU/ViyXms9RYWI/AAAAAAABn-M/ZWFcLHgc4rs/s640/MAGUFULI.jpg)
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Magufuli aomba kura za ‘people’s’ alete mabadiliko
9 years ago
Vijimambo07 Sep
MAGUFULI AOMBA KURA ZA PPOZ ALETE MABADILIKO
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/317.jpg)
Morogoro. Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema anataka kuwa rais wa Watanzania wote na kuwataka wafuasi wa kaulimbiu ya peoples inayoitikiwa power (nguvu ya umma), akimaanisha Chadema, wampe kura ili alete mabadiliko.
Katika kampeni zake, Chadema, kilichoungana na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pkqzMxUUi-o/VaI-vLRD4EI/AAAAAAAHo9k/WfszxRCcpD0/s72-c/MMGL9627%2Bcopy.jpg)
NEWS UPDATE: DKT. JOHN POMBE MAGUFULI NDIE MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-pkqzMxUUi-o/VaI-vLRD4EI/AAAAAAAHo9k/WfszxRCcpD0/s1600/MMGL9627%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/E1SyTIINOt8/default.jpg)
SIMU TV: DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ALIYOPOKELEWA NA KUHUTUBIA DAR ES SALAAM
Kwa video zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6rQQxuMFuZ0/VaI9GqNPwKI/AAAAAAABRjk/Nerkdx0-Ckk/s72-c/CJtKz-nUsAEsr4P.png)
MHE.JOHN MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA CCM 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-6rQQxuMFuZ0/VaI9GqNPwKI/AAAAAAABRjk/Nerkdx0-Ckk/s640/CJtKz-nUsAEsr4P.png)
Dr. Asha Rose Migiro amepata jumla ya kura 59 sawa na na asilimia 2.4%
Balozi Amina Ali amepata jumla ya kura 253 sawa na asilimia 10.5%
Mhe. John Magufuli amepata jumla ya kura 2104 sawa na asilimia 87.1%
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s72-c/Magufuli.jpg)
Hotuba ya Dr John Pombe Magufuli kukubali kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s640/Magufuli.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mgombea urais kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli awasili jijini Dar, ajitambulisha kwa wana Dar Es Salaam
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli pamoja na Mgombea Mwenza Mama Samia Suluhu wakishuka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere na kulakiwa na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali Mkoa wa Dar es salaam, Ambapo baadae Wagombea hao walitambulishwa kwenye mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Zakhem Mbagala jijini Dar es salaam.
Magufuli amekishukuru chama cha Mapinduzi na watanzania kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RcjXjDLdreE/VaUgWi8xUvI/AAAAAAAAhUk/d12LjyT_u0w/s72-c/35.jpg)
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DR. JOHN POMBE MAGUFULI AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM NA AJITAMBULISHA KWA WANA DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/136.jpg)