Mgombea urais kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli awasili jijini Dar, ajitambulisha kwa wana Dar Es Salaam
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli pamoja na Mgombea Mwenza Mama Samia Suluhu wakishuka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere na kulakiwa na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali Mkoa wa Dar es salaam, Ambapo baadae Wagombea hao walitambulishwa kwenye mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Zakhem Mbagala jijini Dar es salaam.
Magufuli amekishukuru chama cha Mapinduzi na watanzania kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RcjXjDLdreE/VaUgWi8xUvI/AAAAAAAAhUk/d12LjyT_u0w/s72-c/35.jpg)
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DR. JOHN POMBE MAGUFULI AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM NA AJITAMBULISHA KWA WANA DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/136.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pkqzMxUUi-o/VaI-vLRD4EI/AAAAAAAHo9k/WfszxRCcpD0/s72-c/MMGL9627%2Bcopy.jpg)
NEWS UPDATE: DKT. JOHN POMBE MAGUFULI NDIE MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-pkqzMxUUi-o/VaI-vLRD4EI/AAAAAAAHo9k/WfszxRCcpD0/s1600/MMGL9627%2Bcopy.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZKu-FRHQY24/ViyX9cgVitI/AAAAAAAICrk/guZeTrINfiA/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Joseph Magufuli apiga kura chato
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZKu-FRHQY24/ViyX9cgVitI/AAAAAAAICrk/guZeTrINfiA/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OFgHg5NzQtY/ViyX9ZrQ2iI/AAAAAAAICrg/NzIT65s9c6Y/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QePwiRoVCjU/ViyXms9RYWI/AAAAAAABn-M/ZWFcLHgc4rs/s640/MAGUFULI.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s72-c/Magufuli.jpg)
Hotuba ya Dr John Pombe Magufuli kukubali kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s640/Magufuli.jpg)
9 years ago
VijimamboDK. JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI WA URAIS WA TANZANIA AWAMU YA TANO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR6XBaoLfgLgRstqWzf38Z11yqo7cF-hvyifYsGP5nDSCg76JlFg4vZe7ZhEFzDdmtXgv5b6sstikYWmeuShHVFa/JOHN.png)
MJUE KWA UNDANI MGOMBEA URAIS WA CCM, MHE. JOHN POMBE MAGUFULI
- Alizaliwa Oktoba 29, 1959 wilayani Chato, wakati huo ikiwa ni sehemu ya mkoa wa Kagera (sasa mkoa wa Geita).
- Mwaka 2006 – 2009, Shahada ya Uzamivu ya Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
- Mwaka 1991 – 1994, Shahada ya Uzamili ya Kemia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na baadaye Chuo Kikuu  cha Salford, Uingereza. - Mwaka 1985 – 1988, alisoma Shahada ya Kwanza ya Elimu katika Chuo Kikuu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s72-c/j11.jpg)
JK AMPONGEZA RAIS MTEUL JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s640/j11.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii Oktoba 29, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qou44moVYi4/VjI3dOuNzTI/AAAAAAAIDXo/m0sZzU3th6M/s640/j7.jpg)
5 years ago
MichuziMkutano Mkuu wa TLP kumpitisha Mgombea Urais Dkt. John Pombe Magufuli wa CCM.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimesema kuwa Mkutano mkuu wa chama hicho utaofanyika Mei 9 mwaka huu Kitapitisha Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa Chama hicho Agustino Latonga Mrema amesema kuwa jina Mgombea Urais lilisgapitishwa na Halmashauri Kuu Chama na kilichobaki ni kudhibitisha jina la Mgombea huyo.
Amesema kuwa katika uchaguzi mkuu hakuna haja ya kuweka Mgombea...
Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimesema kuwa Mkutano mkuu wa chama hicho utaofanyika Mei 9 mwaka huu Kitapitisha Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa Chama hicho Agustino Latonga Mrema amesema kuwa jina Mgombea Urais lilisgapitishwa na Halmashauri Kuu Chama na kilichobaki ni kudhibitisha jina la Mgombea huyo.
Amesema kuwa katika uchaguzi mkuu hakuna haja ya kuweka Mgombea...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s72-c/c16.jpg)
PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s640/c16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-283YW3zqPqY/VcC04hc0ZFI/AAAAAAAAcCM/6Yn8L0MksWw/s640/c17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1hklPGs6_4/VcC04dfGx7I/AAAAAAAAcCI/tK03pjoNSxE/s640/c18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dQMFnDG46-o/VcC050ISKbI/AAAAAAAAcCg/wczVQE642p4/s640/c19.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4K6YSo9YezA/VcC06IaqWuI/AAAAAAAAcCk/btgG3CzKLYc/s640/c20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C-vbmMMYATo/VcC06oLLGlI/AAAAAAAAcCo/Uf0oA3y06vw/s640/c21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0L0gdBbxR0/VcC06wBZ0uI/AAAAAAAAcCs/ilzWOvRdpY8/s640/c22.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mXP8dksn-Zk/VcC07ngiiFI/AAAAAAAAcC8/EDURRoHq4gc/s640/c23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vFq-Sn-LLws/VcC08FuPX5I/AAAAAAAAcDI/2JMLVef8exk/s640/c24.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania