Wahojiwa kwa kuhamasisha maandamano batili
JESHI la Polisi mkoani Rukwa limewashikilia kwa mahojiano Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani humo, Zeno Nkoswe, viongozi wengine wawili wa chama hicho, pamoja na wanachama watano kwa kuhamasisha maandamano yaliyokatazwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s72-c/AC.jpg)
WANAFUNZI 84 WA UDOM WATIWA MBARONI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s640/AC.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-750dCVUUmvQ/VLaS6eTNrgI/AAAAAAACVqg/SME6IEMUVxY/s640/ZC.jpg)
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Watu 10 wahojiwa kwa mauaji Tarime
Watu 10 wanashikiliwa na polisi kwa mahojiano baada ya kukamatwa na msako wa kikosi kazi kwa kushirikiana na Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya, baada ya kutokea kwa mauaji ya hivi karibuni wilayani Tarime dhidi ya mtu asiyefahamika wala aina ya bunduki yake.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0UZX7rQTYVs/XvXe4pDJYVI/AAAAAAALvgc/szFzu4NtLtQGMH90qVd_SsxDUPOrvbx4ACLcBGAsYHQ/s72-c/c0918d61-b733-4701-8859-4b03bd9a5dd3.jpg)
MAWAKILI WATARAJIWA WAHOJIWA KWA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-0UZX7rQTYVs/XvXe4pDJYVI/AAAAAAALvgc/szFzu4NtLtQGMH90qVd_SsxDUPOrvbx4ACLcBGAsYHQ/s640/c0918d61-b733-4701-8859-4b03bd9a5dd3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/cb8de13e-0512-4a23-aed6-560bce628688.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Wahojiwa kwa ufisadi wa mabilioni Mbeya
Mradi wa Maji Masoko Pipe Water Supply uliokwama kwa ufisadi wakati ukitekelezwa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, sasa umekuwa kaa wa moto baada ya waliokuwa viongozi wa halmashauri hiyo kuhojiwa kuhusiana na ufisadi wa mabilioni ya shilingi.
10 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Diamond na dancers wake wahojiwa kwa masaa polisi, Oyster Bay
Diamond Platnumz pamoja na dancers wake, wamehojiwa kwa masaa kadhaa kwenye kituo cha polisi cha Oyster Bay jijini Dar es Salaam baada ya kuitwa kwenda kujieleza kutokana na kuvaa sare za jeshi la wananchi Tanzania, JWTZ, kwenye show ya Fiesta, kinyume cha sheria. Diamond Platnumz akitoka nje ya kituo cha polisi Osyter Bay, katikati ni […]
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
10 years ago
Mwananchi16 Nov
MCL yatunukiwa kwa kuhamasisha ulipaji kodi
Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), jana ilitunukiwa cheti cha ushindi wa kuhamasisha jamii kulipa kodi ya Serikali kwa mwaka 2014 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Sumatra: Mikataba ya madereva batili
>Imeelezwa kuwa mikataba mingi ya ajira ya madereva wa malori na mabasi nchini ni batili kwa kuwa haikidhi vigezo vya sheria zinazosimamiwa na Wizara ya Kazi na Ajira.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania