Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumatra: Mikataba ya madereva batili

>Imeelezwa kuwa mikataba mingi ya ajira ya madereva wa malori na mabasi nchini ni batili kwa kuwa haikidhi vigezo vya sheria zinazosimamiwa na Wizara ya Kazi na Ajira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza SUMATRA lawaonya madereva

MADEREVA wa mabasi nchini wametakiwa kuacha kubadilisha ruti kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Ofisa Muelimishaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumatra kuwabana madereva wakorofi

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), inatarajia kuanza utaratibu wa kutoa vibali maalumu vitakavyolenga kumuwajibisha dereva au kondakta moja kwa moja badala ya mmiliki kama...

 

10 years ago

Mwananchi

JK amsotesha mkurugenzi wa Sumatra mbele ya madereva

Rais Jakaya Kikwete jana alimpa wakati mgumu mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Giliadi Ngewe baada ya kumtaka aeleze sababu zinazomkwamisha kutatua na kuhakiki mikataba ya madereva.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva walia na mikataba mipya ya kazi

MADEREVA wa magari nchini wameitaka serikali kuharakisha kutoa tamko kuhusu kuanza kutumika mikataba mipya, ambayo ilitakiwa kuanza kutumika tangu Julai mosi.

 

10 years ago

GPL

CHAMA CHA MADEREVA TANZANIA CHATOA TAMKO KUHUSU MIKATABA YAO NA SERIKALI

Kaimu Katibu Mkuu wa Chama Cha Madereva, Rashid Saleh (kushoto) akitoa tamko hilo. Kulia ni mtunza hazina wa Chama hicho, Ramadhan Seleman. ....akihojiwa na waandishi wa habari. CHAMA cha Madereva Tanzania,  kimetoa tamko rasmi juu ya marekebisho ya mikataba yao, huku kikilalamikia kile kilichoitwa... “ukiukwaji wa…

 

11 years ago

Mwananchi

Uongozi wa sasa BFT batili

Uongozi wa sasa wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa nchini (BFT) ni batili kutokana na kuhirikishwa kwa wajumbe wasiokuwa na sifa ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana na wa mwaka huu katika nafasi ya urais.

 

9 years ago

Habarileo

Wahojiwa kwa kuhamasisha maandamano batili

JESHI la Polisi mkoani Rukwa limewashikilia kwa mahojiano Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani humo, Zeno Nkoswe, viongozi wengine wawili wa chama hicho, pamoja na wanachama watano kwa kuhamasisha maandamano yaliyokatazwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Msofe adai mkutano TBF ni batili

>Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini (TBF), Alexandar Msofe amedai kuwa mkutano wa bodi unaoanza leo mkoani Dodoma ni batili.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dosari gani hiufanya ndoa kuwa batili?

DUNIANI kote ndoa ni taasisi ya muhimu katika maisha ya kila mwanadamu, ni kitu ambacho hakikwepeki katika hatua ya maisha ya  binadamu hasa aliye kamilifu. Kutokana na umuhimu wake huo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani