Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumatra kuwabana madereva wakorofi

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), inatarajia kuanza utaratibu wa kutoa vibali maalumu vitakavyolenga kumuwajibisha dereva au kondakta moja kwa moja badala ya mmiliki kama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sumatra kuwabana wenye bodaboda

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imesema usajili wa pikipiki maarufu kama ‘bodaboda’ utafanywa pamoja na kukagua namba zenye rangi ya njano huku zikiwa zinafanyabiashara jambo ambalo ni kinyume.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madereva, makondakta wakorofi UDA kukiona

ABIRIA wa mabasi jijini Dar es Salaam, wameshauriwa kusaidia kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva na makondakta kwa kupiga simu zilizochapishwa katika mabasi yote ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mzani wa Wim: Teknolojia ya kuwabana madereva wanaozidisha uzito

Kwa miaka mingi kumekuwa na mvutano mkubwa baina ya serikali na wasafirishaji juu ya matumizi sahihi ya barabara nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza SUMATRA lawaonya madereva

MADEREVA wa mabasi nchini wametakiwa kuacha kubadilisha ruti kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Ofisa Muelimishaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za...

 

10 years ago

Mwananchi

Sumatra: Mikataba ya madereva batili

>Imeelezwa kuwa mikataba mingi ya ajira ya madereva wa malori na mabasi nchini ni batili kwa kuwa haikidhi vigezo vya sheria zinazosimamiwa na Wizara ya Kazi na Ajira.

 

9 years ago

Mwananchi

JK amsotesha mkurugenzi wa Sumatra mbele ya madereva

Rais Jakaya Kikwete jana alimpa wakati mgumu mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Giliadi Ngewe baada ya kumtaka aeleze sababu zinazomkwamisha kutatua na kuhakiki mikataba ya madereva.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji awatega wakorofi Yanga

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ameamua kujibu mapigo dhidi ya wanachama wanaopinga maamuzi ya mkutano mkuu wa Juni 1, mwaka huu, akiwataka wajiorodheshe kujua idadi na uhai wao...

 

11 years ago

Habarileo

Mameya, wakurugenzi wakorofi kutimuliwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imesema kuanzia sasa itawaondoa madarakani mameya, wenyeviti wa halmashauri na wakurugenzi katika halmashauri zitakazokumbwa na mgogoro.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yageukia madiwani wakorofi

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imesema Serikali ya Awamu ya Tano haitavumilia madiwani wakaidi na wanaokwamisha watumishi wa umma kwa ajili ya maslahi yao binafsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani