Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mameya, wakurugenzi wakorofi kutimuliwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imesema kuanzia sasa itawaondoa madarakani mameya, wenyeviti wa halmashauri na wakurugenzi katika halmashauri zitakazokumbwa na mgogoro.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania ziarani nchini Finland

Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania walioko katika ziara ya mafunzo nchini Finland wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Meya wa jiji la Helsinki,Hannu Pentila muda mfupi baada ya viongozi hao kutembelea mradi wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Kalasatama katika jiji hilo la Helsinki.Ujumbe wa Mameya na Wakurugenzi kutoka majiji sita ya Tanzania ukitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa katika mji wa Kalasatama jijini Helsiniki nchini Finland.Lisa Tervo kushoto kutoka Taasisi...

 

10 years ago

Michuzi

MAMEYA NA WAKURUGENZI WA TANZANIA WATEMBELEA NYUMBA ZILIZOJENGWA KWA MBAO FINLAND

Mkurugenzi wa jiji la LAHTI, Kari Porra akitoa maelezo kuhusu ujenzi wa nyumba hizo za mbao kwa mratibu wa ziara hiyo Godfrey Nyamrunda kutoka taasisi ya Uongozi ya Tanzania, nyuma yao ni Meya wa jiji la Dar Esa Salaam Dk Didas Masaburi.Baadhi ya viongozi kutoka majiji sita ya Tanzania wakipata maelezo kuhusu mfumo wa ukusanyaji wa taka na uchujaji wa maji machafu katika jiji la LAHTI, kutoka kushoto ni mratibu wa mtandao wa majiji Tanzania, ( Tanzania Cities Network) Philoteus Mbogoro, Meya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji awatega wakorofi Yanga

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ameamua kujibu mapigo dhidi ya wanachama wanaopinga maamuzi ya mkutano mkuu wa Juni 1, mwaka huu, akiwataka wajiorodheshe kujua idadi na uhai wao...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yageukia madiwani wakorofi

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imesema Serikali ya Awamu ya Tano haitavumilia madiwani wakaidi na wanaokwamisha watumishi wa umma kwa ajili ya maslahi yao binafsi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumatra kuwabana madereva wakorofi

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), inatarajia kuanza utaratibu wa kutoa vibali maalumu vitakavyolenga kumuwajibisha dereva au kondakta moja kwa moja badala ya mmiliki kama...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madereva, makondakta wakorofi UDA kukiona

ABIRIA wa mabasi jijini Dar es Salaam, wameshauriwa kusaidia kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva na makondakta kwa kupiga simu zilizochapishwa katika mabasi yote ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Buhari wa Nigeria atawacharaza tena bakora wakorofi?

>Miaka ile ya 1980 nilikuwa nasoma sana magazeti ya kimataifa kama ‘Africa,’ ‘Africa Now,’ ‘Africa Events’ na mengineyo yaliyoruhusiwa kuingia nchini.

 

11 years ago

Michuzi

ASKARI MAGEREZA WAONESHA WANAVYOPAMBANA NA WAFUNGWA WAKOROFI

 'Wafungwa' wakijifua kupambana na askari Magereza katika moja ya maonesho yaliyotia fora sana kwenye sherehe za miaka 50 ya Muungano katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Askari akipambana na 'Mahabusu' aliyeasi  Askari akila sahani moja na 'wafungwa' watatu  Askari anapangua teke....  Kisha anakata zote bee....  Mfungwa hoi... Anadakwa kilaaiiini.... Hii ilikuwa ni igizo tu, kwani hakukuwepo na mfungwa halisi bali askari waliovalia aina ya nguo za...

 

10 years ago

Mwananchi

Alat kuwatunukia tuzo mameya na wenyeviti

Mameya na wenyeviti wa halmashauri za jiji, manispaa na wilaya zilizofanya vyema katika maendeleo ya wananchi, watatunukiwa tuzo maalumu ili kuibua ari ya kuwatumikia wananchi na Serikali kwa jumla.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani