MAMEYA NA WAKURUGENZI WA TANZANIA WATEMBELEA NYUMBA ZILIZOJENGWA KWA MBAO FINLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-Inh6LGfP_tc/U_xgMZCvGfI/AAAAAAAGChQ/Og4C_UhHFsM/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Mkurugenzi wa jiji la LAHTI, Kari Porra akitoa maelezo kuhusu ujenzi wa nyumba hizo za mbao kwa mratibu wa ziara hiyo Godfrey Nyamrunda kutoka taasisi ya Uongozi ya Tanzania, nyuma yao ni Meya wa jiji la Dar Esa Salaam Dk Didas Masaburi.
Baadhi ya viongozi kutoka majiji sita ya Tanzania wakipata maelezo kuhusu mfumo wa ukusanyaji wa taka na uchujaji wa maji machafu katika jiji la LAHTI, kutoka kushoto ni mratibu wa mtandao wa majiji Tanzania, ( Tanzania Cities Network) Philoteus Mbogoro, Meya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania ziarani nchini Finland
11 years ago
Habarileo15 May
Mameya, wakurugenzi wakorofi kutimuliwa
SERIKALI imesema kuanzia sasa itawaondoa madarakani mameya, wenyeviti wa halmashauri na wakurugenzi katika halmashauri zitakazokumbwa na mgogoro.
10 years ago
MichuziVIONGOZI WA TANZANIA WATEMBELEA KITUO CHA MAZINGIRA FINLAND
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/f1W4CAiDvMk/default.jpg)
Nyumba zilizojengwa juu ya bomba la kupitisha maji Buruguni kuvunjwa.
Rais Jakaya Kikwete, jana alitembelea waathirika wa mafuriko Buguruni kwa Mnyamani na kuahidi kuwasaidia, huku akiagiza kuvunjwa kwa nyumba zitakazobainika kujengwa juu ya bomba hilo.
Kikwete alisema tathmini ya nyumba ziliozojengwa juu ya bomba hilo itafanyika, na wanaanchi watalipwa fidia zao.
Kadhalika, alisema bomba hilo lililosababisha mafuriko hayo litajengwa upya ili kuwezesha kupitisha maji mengi zaidi.
Kikwete pia ameagiza wilaya ya Ilala itoe msaada wa chakula kwa wakazi hao, pamoja...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
JK afungua nyumba za Watumishi wa Afya Matemanga, Tunduru, zilizojengwa na Mkapa Foundation
![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8K0O7Dxf1fc/U87dxaw3LLI/AAAAAAAF42s/7RdnuEbn8mo/s1600/unnamed+(55).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QyoD8R4-9fs/VAdAwrORjlI/AAAAAAAGc1Q/Ydlbif8nIPI/s72-c/unnamed.jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA KAMPUNI INAYOTENGENGEZA NYUMBA ZA MBAO ZA GHARAMA NAFUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-QyoD8R4-9fs/VAdAwrORjlI/AAAAAAAGc1Q/Ydlbif8nIPI/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
MichuziBODI YA WAKURUGENZI MUWSA WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI HIMO NA MOSHI
11 years ago
Michuzi04 Mar
Wajumbe Bodi ya Wakurugenzi NSSF Watembelea Ujenzi Mradi wa 'Dege ECO Village'
Ujenzi huo wa mji wa kisasa ambao utakuwa na nyumba za kuishi za kisasa za watu wa kipato cha kati unajumuisha ujenzi wa nyumba zaidi ya 7,000 zikiwa na huduma zote za kujamii eneo moja. Akizungumzia mradi huo mkubwa unaotekelezwa kati ya NSSF kwa...
10 years ago
MichuziBALOZI WA FINLAND NCHINI TANZANIA AZINDUA KITUO CHA MSAADA KWA WAHANGA WA UKATILI