Nyumba zilizojengwa juu ya bomba la kupitisha maji Buruguni kuvunjwa.
![](http://img.youtube.com/vi/f1W4CAiDvMk/default.jpg)
Rais Jakaya Kikwete, jana alitembelea waathirika wa mafuriko Buguruni kwa Mnyamani na kuahidi kuwasaidia, huku akiagiza kuvunjwa kwa nyumba zitakazobainika kujengwa juu ya bomba hilo.
Kikwete alisema tathmini ya nyumba ziliozojengwa juu ya bomba hilo itafanyika, na wanaanchi watalipwa fidia zao.
Kadhalika, alisema bomba hilo lililosababisha mafuriko hayo litajengwa upya ili kuwezesha kupitisha maji mengi zaidi.
Kikwete pia ameagiza wilaya ya Ilala itoe msaada wa chakula kwa wakazi hao, pamoja...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
DC wa Kinondoni Paul Makonda atembelea mradi wa ujenzi wa bomba la maji kutoka Ruvu juu!
Na Eleuteri Mangi – MAELEZO
Mkuu wa Wilaya ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Inh6LGfP_tc/U_xgMZCvGfI/AAAAAAAGChQ/Og4C_UhHFsM/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
MAMEYA NA WAKURUGENZI WA TANZANIA WATEMBELEA NYUMBA ZILIZOJENGWA KWA MBAO FINLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-Inh6LGfP_tc/U_xgMZCvGfI/AAAAAAAGChQ/Og4C_UhHFsM/s1600/unnamed%2B(90).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5S4P_nRpCnU/U_xgH0oxPrI/AAAAAAAGChE/HXQkRTRyWLI/s1600/unnamed%2B(91).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
JK afungua nyumba za Watumishi wa Afya Matemanga, Tunduru, zilizojengwa na Mkapa Foundation
![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8K0O7Dxf1fc/U87dxaw3LLI/AAAAAAAF42s/7RdnuEbn8mo/s1600/unnamed+(55).jpg)
10 years ago
MichuziMUWSA YASAMBAZA BOMBA ZA MAJI MRADI MKUBWA WA MAJI MTO KARANGA
TATIZO la upungufu wa maji katika Manispaa ya Moshi linaelekea kuwa historia ifikapo mwezi Desemba mwaka huu kufuatia kukamilika kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji uliopo katika chemchem ya Mto Karanga ambao umegharimu kiasi cha shilingi milioni 382.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira ( MUWSA), Mhandisi Cyprian Luhemeja amefafanua kuwa, mradi huo utakapokamilika utahudumia maeneo ya Bomambuzi, Pasua ,...
10 years ago
GPLMUWSA YASAMBAZA BOMBA LA MAJI KATIKA MRADI MKUBWA WA MAJI MTO KARANGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rx2rCE2749A/VL9UYEL7LjI/AAAAAAAG-l8/aJYNqs2Rb_g/s72-c/001.jpg)
WAZIRI WA MAJI ATOA SIKU 90, KWA MKANDARASI ANAESAMBAZA BOMBA LA MAJI MRADI WA MLANDIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rx2rCE2749A/VL9UYEL7LjI/AAAAAAAG-l8/aJYNqs2Rb_g/s1600/001.jpg)
10 years ago
Michuzi19 May
MANISPAA YA KINONDONI YAENDELEA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAKAZI YA WATU TEGETA,BUNJU NA KUNDUCHI NA KUJENGA MFEREJI WA KUDUMU KUPITISHA MAJI YA MVUA KUELEKEA BAHARI YA HINDI
![AT1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/AT1.jpg)
![AT2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/AT2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Waziri wa Maji atoa siku 90 kwa Mkandarasi Megha Engineering anaesambaza bomba la maji mradi wa Mlandizi Kimara
Waziri wa maji Jumanne Maghembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wakandarasi wanaojenga bomba la maji la Mlandizi Kimara Januari 20, 2015 mkoani Pwani wakati alipotembelea tembelea miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na maji Taka (DAWASA), kwa lengo la kupata tathimini ya mradi huo ulipofikia sasa.(Habari Picha na Philemon Solomon).
WAZIRI wa maji Jumanne Maghembe ametoa siku 90, kwa mkandarasi Megha Engineering Infrastructure Limited anaesambaza bomba la maji mradi wa...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Nyumba 5,600 kuvunjwa Dar